Ww unakumbuka ulianza na simu ipi????

Ww unakumbuka ulianza na simu ipi????

kumbe umeanza kutumi jana jioni sakapal wangu, ila kama unajimudu miliki simu usijefuga mbwa ukitegemea matapishi ya jirani kama baadhi ya kina dada wa mjini kila saa nitumie hata mia tano sasa mia tano ni hela ya kuomba kwenye simu kweli. maani mimi mwenzio nilinza na tritel enzi hizo nilikuwa naogopa kweli kuibonyeza maana kila dakika ilikuwa inajilock naenda kwenye ofisi zao bibi titi road pale unakuta foleni maana enzi zili tulikuwa tunaenda kulipia muda wa maongezi kwenye ofisi basi utakuta msururu wa wateja wengine tunalalamikia mabo ya kijinga kweli ushamba ni gharama

Hatujapishana sana mie nakumbuka line nilinunua pale j m mall zamani ilikuwa score supermarket na line niliinunua kwa shilingi 13,500/- ukichanganya na vocha wakati huo ilikuwa inauzwa kwa dola na ya chini ilikuwa dola 5 kulikuwa na foleni kama ya watu 20 hivi n\ mie nilikuwa wa 13 daah sitasahau na line yenyewe ilikuwa ya vodacom. Thanx for bring back the memories.
 
Hatujapishana sana mie nakumbuka line nilinunua pale j m mall zamani ilikuwa score supermarket na line niliinunua kwa shilingi 13,500/- ukichanganya na vocha wakati huo ilikuwa inauzwa kwa dola na ya chini ilikuwa dola 5 kulikuwa na foleni kama ya watu 20 hivi n\ mie nilikuwa wa 13 daah sitasahau na line yenyewe ilikuwa ya vodacom. Thanx for bring back the memories.


Thanks to you too. unajua test ya maisha ni tofauti kati ya asiye nacho na aliye nacho sasa siku huwezi kumjua maskini wala tajini kweli umaridadi huficha umaskini yaani unaweza kumkuta kapeche haju hata atakula nini machana lakini anamiliki simu ya milioni ambayo kazi yake ni kutuma na kupokea simu na sms tu mwenye simu ya kitochi ya sh 9,999.99 anaoneka si kitu kabisa mbele ya jamii yaani waafrika bado tuko nyuma sana
 
By the way Mkuu, wakati huo nilikuwa nje ya Tanzania ambapo mitandao ilikuwa tayari ipo tofauti na Tanzania.

Sent from my GT-I9100 using Tapatalk 2
 
Nilinunua simu ya kwanza mwaka 1998 kwa dola moja, ilikuwa Nokia 101 na wakati huo hakuna prepaid, hivyo pamoja na simu kuwa dola moja lakini nililazimika kutoa dola 50. Nilitoka mjini kwenda. Shoppers plaza kununua hiyo simu, na kukuta foleni kubwa.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom