Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,808
- 59,317
Lizzy umenipa akili... Ila hiyo balance sio rahisi kupata...
Hapo juu ulipo sema kuhusu majukumu ni kweli kabisa.
Mi naona siri ya mapenzi ya kabla ya ndoa ni ile spontaneity na kule kufurahia the moment you live, hata kama hamna chochote. bahati mbaya mkisha oana basi, yanaisha. spouses wengi wanakua focused sana kwenye pesa, na mara nyingi wenye future. Hakuna ubaya ila usipo furahia tulicho nacho sasa hivi hata hicho unacho vizia kutata kesho huto furahia. Na hapo ndipo unaona mmoja anaanza kutafuta a spontanious friend wa kupoteza mawazo...
BTW, if I was a dude I would marry you too, I love challenging minds. lol
Lolzz. . .
Ummmh yote hayo yanawezekana Mwali, hayachukui siku nzima wala hayahitaji mtu asiwe focused na majukumu. Kinachowazidi watu nguvu ni uvivu, kutokujali sana maendeleo ya mahusiano na kutowapa wenzi wao hata muda kidogo toka kwenye masaa 24 wanayopata kila siku .
It only takes about 30min - 1hr a day to show your man he can still count on you making his life at home fun, exciting and relaxing, NOT FOREVER. Sasa unaweza ukachagua kumpa hiyo saa moja kila siku aone bado ana maana kwako na bado mahusiano yenu yamesimama au kutompa kabisa alafu akatafute kwingine. Unavyotakiwa kufanya ni vitu vidogo vidogo sana, huna haja ya kumbeba mgongoni wala kichwani. Lainisha sauti, toa maneno mazuri, pay attention, msikilize, mwelewe, jali mahitaji yake (sio lazima ufanye kila kitu wakati anaotaka ila namna ya kukataa inahusu sana) utashangaa mwenyewe.