fifi2000
Senior Member
- Sep 29, 2014
- 102
- 40
Wadada tukubali kuwa kujitoa muhanga kwa maboyfriend ni hatari pia! Msijiachie kihivyo kisa kwao wanakujua! Subiri akupandishe pale mbele za mola! Muwe mume na mke! Hata akikutenda ni rahisi hata kwa mungu kuingilia kati! Lakini sheria tunavunja wote mbele za mungu utaanzaje kwa mfano kumlilia mungu bila aibu