Wote wanatarajia kuolewa na mimi Nifanyaje?

Wote wanatarajia kuolewa na mimi Nifanyaje?

Sasa umishampiga chata ndo unasema? fuata kile roho yako inapenda, lakini kumbuka laana huwa zinaanza hivi! huenda mchepuko wako hazai, au akakusumbua sana baadae ukamkumbuka huyu uliyezaa naye.
 
Na huyo mdada alikuwa na guarantee gani kuwa akibeba mimba ataolewa! Na men unakuwa nae miaka 6 hushtuki! Kha! Miaka 3 inatosha kujua kuwa hii chenga kila mmoja ana makosa hapo iwe man wa design hiyo au women! Siku hizi wanaume wastarabu wanatafuta girlfriend wa kukidhi haja zao za ubachelor! Akiamua kuoa hawezi kukuweka miaka yote hiyo anajua tu utamkimbia lakini lenyeww lipo tu linaamua mpaka kupanda na mbegu! Kwanza tangu lini unamzalia mwanaume bila makubaliano
 
hakuna cha shetani hapa kwani alimwekea P.O.P ili isimame si aliweka akili na mwili ikasimama yenyewe na akakojoa akapata raha leo hii eti shetani kamzidi shetani shwaini huyu mfyuuuu


Dear njia zozote zisizompendeza mungu ni za kishetani. Na shetani ana mitego mingi, sana haswa akishajua your weakness. Shetani alijua weakness ya huyu jamaa na ndipo hapo alipomkamatia . Si mtetei ila ndio Ukweli. Ukristo Wa sasa hivi wengi wetu tunaishi katika ukristo Wa kimazoea na hii ndio inatucost. Tunatakiwa kama ni wakristo tuishi maisha ya kumuogopa Mungu, si ya kuiga ,Bali ya Kweli na kuchukia yaliyo maovu. So naomba tumsamehe kwa kuwa hata Yesu alitusamehe na kumbuka yeye Yesu alikuwa mwana Wa pekee Wa Mungu. Na aliji humble na kujitoa maisha yake kwa ajili yetu sisi ili tupate uzima Wa milele. So the question is: ikiwa mwana Wa Mungu ametusamehe why cant we forgive him? And feel his pains together? Trust me I can feel this guy he is really in trouble, spiritual,mind, soul and heart, he needs us yo encourage him and to stand up by his side so he can make the right decision . Thanks.
 
Mwanamke wa kweli ni yule mwenye msimamo haya mambo ya shake well before use yanaingiza chaka wadada wengi! Na kama ni nyege zinakusumbua fanya ila at your own risk!

Nafikiri hujawahi kutendwa wewe. Miss Chagga Nisaidie hapa.
 
Sasa umishampiga chata ndo unasema? fuata kile roho yako inapenda, lakini kumbuka laana huwa zinaanza hivi! huenda mchepuko wako hazai, au akakusumbua sana baadae ukamkumbuka huyu uliyezaa naye.

Ndio maana nikasema afuate rohoo yake inapopenda lakini amake sure anamtunza mtoto bila kumbagua! Kwani wote walichagua kwa ridhaa yao wenyewe kudo peku now hawawezi kukwepa balaa lake! Kabla hujafanya maamuzi yeyote fikiria kwanza consequenses zake! Sikatai kuwa jama ana makosa ila dem pia ana makosa yake! Wadada tumezidi kujitoa muhanga
 
Sijawahi kweli kutendwa na mungu aniepushie hii kasoro ya kujitoa kwa men! ila nimeshuhudia ndugu zangu na marafiki wengi wakitendwa na kustudy kesi zao nimejifunza kuwa msimamo ndo mpango mzima kwa wadada! Hakuna jipya! Na huyu mkaka anastahili kupigwa bakora ila mdada awe fundisho kwa wadada wenye huruma kwa maboyfriend! Tunaogopa kuwatosa maboyfriend tunaogopa upweke!
 
Nafikiri hujawahi kutendwa wewe. Miss Chagga Nisaidie hapa.

mwache tu uchungu huwezi ujua mpaka uingie ndani fifi2000 ni watamu ukiwa mpya na unjabeba ila ukishabeba mimba ni wachungu mno na wanawasha kabisa my dear acha tu unaweza bana mwisho wa siku ukiachia ndiyo inakuwa na impact maishani... unaweza olwa ndiyo ukishabeba anaanza visa labda upate hanisi
 
Sijawahi kweli kutendwa na mungu aniepushie hii kasoro ya kujitoa kwa men! ila nimeshuhudia ndugu zangu na marafiki wengi wakitendwa na kustudy kesi zao nimejifunza kuwa msimamo ndo mpango mzima kwa wadada! Hakuna jipya! Na huyu mkaka anastahili kupigwa bakora ila mdada awe fundisho kwa wadada wenye huruma kwa maboyfriend! Tunaogopa kuwatosa maboyfriend tunaogopa upweke!

kama ujawahi my dear acha tuwaadhimu kwa maneno makali wasikie .... ni viumbe hatari sana
 
Ushauri plz. Nina mwanamke ambaye kwa sasa ni mjamzito na wanamjua kwetu pia hata mm kwao najulikana. Nina miaka nae 6 lakini nina mchepuko wangu wa ukweli nae nina muda nae miaka 4. Sasa tatizo nashindwa fanya maamuzi ya kuoa wote wanataka kuolewa na mm. Na mm roho yangu kumuacha huyu mchepuko wangu roho inauma. Dah nipo njia panda

njia panda kuna mambo ya kishirikina hufanywa hapo so si buree...
 
Wadada wa siku hizi sijui tupoje! Kila kitu tunaonewa! Hatuna tofauti na dereva anasoma bango limeandikwa parking at your own risk lakini kwa kuwa anatokea kijana anakwambia kuna usalama hapa we niachie tena wacha nikuoshee kabisa! Ukiludi halipo! Ukiadithia watu watakupa pole! Mara utaskia wanawalaani vijana wahuni wale! Lakini si ulishaambiwa at your own rizk! Blame yourself for not using your brain! Alokwambia moyo una akili nani!!??
 
mtu miaka 6 yote dah....ndomana wanawake wengine huamua kutumia extra power si kwa kupenda..
 
sasa ushakojolea kule kukajaa ndiyo unaona penye uwazi kuacha hutaki .... acha ufamba wewe mtesaji mnyanyasaji mkubwa wewe mfyuuuu,... wakati unamtia mimba ulikuwa hujui kuwa unamchepuko watu kama ninyi ni wa kunyonga mnatesa watoto na mama zao ... mfyuuu nikusikie tena na ushenzi wako huu... huna haya unataka tukwambie umwache mjamzito uoe mchepuko kkwenda huko huna maana wewe alafu unajiita mwanaume kwenda...

nyie niwakukata vidudu hivyo

Nakusapoti % umempa ukweli wake safi saaan
 
kama ujawahi my dear acha tuwaadhimu kwa maneno makali wasikie .... ni viumbe hatari sana

Lets be realistic! Kaja kuomba ushauri mpeni madongo yake ila naushauri mpeni basi! Mimi upenda kubalance matters! Wote wanamakosa! Tujifunzemo miss chagga!
 
Lets be realistic! Kaja kuomba ushauri mpeni madongo yake ila naushauri mpeni basi! Mimi upenda kubalance matters! Wote wanamakosa! Tujifunzemo miss chagga!

ushauri ni kuishi na huyo mwenye mimba yake basi .......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom