Wote wanatarajia kuolewa na mimi Nifanyaje?

Wote wanatarajia kuolewa na mimi Nifanyaje?

na asipate mtoto tena nalaani mbegu zako ziwe tasa na kila zinapoingia kwenye uzazi zigeuke maji ya chumvi ...

Mtoa mada sikiliza sana ushauri wa loveissweet utubu kabisa la sivyo hizi laana zote zitakupata. Yaani tumekasirika sana 10 years ungekuwa karibu sijui tungekufanyaje,badilika kabisa la sivyo utakuja vuna haya.
 
Last edited by a moderator:
huyu angetakiwa aje hapa tumpige mawe alafu ajibu haki ya nani mitamfuata kule

Its okay dear ni kumsamehe tuu hakujua alitendalo. Unaona ukiishi maisha ya kishetani , shetani anadanganya watu sana, anawatala ,na kutawala mpaka akiona amekumaliza then anakuacha, akishakuacha ndipo hapo tunapoanza kuchanganyikiwa kwa maana kila corner na sehemu hapakaliki, kote kunawaka moto unless Roho Wa mungu akufuate na kukuambia its not too late come to thee to drink thy water ,so it can take your thirst away . Mkaka inabidi to surrender to Jesus and repent . baada ya hapo ajifunze kuishi maisha matakatifu yampendezayo Mungu. dear just msameheni, na jitahidini kumshauri vizuri before its too late . Thanks!
 
Hivi cjui hakuona ukakasi kuandika yote hayooo .... kazi kucheza na hisia za wenzake angekua yey ndo kapangwa hvyo angeanza lalamika oooh wanawake cjui viumbe wabaya c waaminifuu mara hawajatulia oooh anachepuka ni malaya ....... mmfuuuu yan kanikwazaaa basi tuuu ....lione

Wanaume kwanini mnapenda kutudhalilisha hivyo. Yaan limeona raha kuweka midole yake mirefu hapa kuandika ujinga wake. Mwehu weeeee.
 
Ushauri plz. Nina mwanamke ambaye kwa sasa ni mjamzito na wanamjua kwetu pia hata mm kwao najulikana. Nina miaka nae 6 lakini nina mchepuko wangu wa ukweli nae nina muda nae miaka 4. Sasa tatizo nashindwa fanya maamuzi ya kuoa wote wanataka kuolewa na mm. Na mm roho yangu kumuacha huyu mchepuko wangu roho inauma. Dah nipo njia panda

Yaani ninahasira hapa. Ila ndivyo hivyo. Kwanini uwe na wawili kwa wakati mmoja? Utakuja fia viunoni wewe
 
Wanaume kwanini mnapenda kutudhalilisha hivyo. Yaan limeona raha kuweka midole yake mirefu hapa kuandika ujinga wake. Mwehu weeeee.

Ningekua nchawii ningekufanya usisimamishe basi tuuu una bahati yakoo
 
Wote wanastahili makofi! Ingawa boy umevunja rekodi! Hao wadada umewacontrol bila kushtuka for God damn 4 to 6years!! Kweli kupenda kubaya sometimes! Huyo mjamzito ni anastaili kofi hw can she get pregnant with a boyfriend with what guarantee maneno ya bby i wll marry u au ma wifi kumfagilia! Uhusiano wowote ambao haujashirikishwa na mungu hauna lawama! Ni at your own risk! Na huyu dem wa pili yuko makini hongera zake si ajabu anajua she's not the only 1 au basi ana msimamo! So wewe kaka kumbuka ukiowa mtu usiempenda uko mbeleni utaendelea na michepuko so kazi kwako ila mtoto usimtelekeze ni wako no matter what
 
Hivi cjui hakuona ukakasi kuandika yote hayooo .... kazi kucheza na hisia za wenzake angekua yey ndo kapangwa hvyo angeanza lalamika oooh wanawake cjui viumbe wabaya c waaminifuu mara hawajatulia oooh anachepuka ni malaya ....... mmfuuuu yan kanikwazaaa basi tuuu ....lione

user-online.png
pattttty lakutoboa macho hili yani angekuwa karibu ni kupiga tu hakuna mjadala
 
Wote wanastahili makofi! Ingawa boy umevunja rekodi! Hao wadada umewacontrol bila kushtuka for God damn 4 to 6years!! Kweli kupenda kubaya sometimes! Huyo mjamzito ni anastaili kofi hw can she get pregnant with a boyfriend with what guarantee maneno ya bby i wll marry u au ma wifi kumfagilia! Uhusiano wowote ambao haujashirikishwa na mungu hauna lawama! Ni at your own risk! Na huyu dem wa pili yuko makini hongera zake si ajabu anajua she's not the only 1 au basi ana msimamo! So wewe kaka kumbuka ukiowa mtu usiempenda uko mbeleni utaendelea na michepuko so kazi kwako ila mtoto usimtelekeze ni wako no matter what

sasa nyingine utakuta binti alikuwa anamwambia nipo danger jamaa linakomaaa ooh unanyima kuna mtu unampa ... alafu wa hivi washenzi kweli kuhisi hisi utakuta linakoroma kama mbwa mwenye njaaa nyambafu kabisa...... alafu unakuta labda makali binti mpole kwanza sijui kama aatumia condom kwa huyo wa miaka minne ..... yana wivu sana haya majitu mazinifu subiri atalipwa tu
 
Ishatokea my dear tumsamehe tu maana hajui atendalo ila kwa maneno haya nadhani amejirekebisha na kujijua pia.

Mungu amuhurumie ......... mi napita zangu ndugu .... naenda lala nikute hajatoa ujinga wake hapaaa
 
yani mijamaa kama hii ni ya kukata shimgo nyambafu kabisa

Jamani nyie watu mbona mnakuwa selfish!! Kweli kakosea na hao wadada wamekosea pia! wakina dada tunapenda kujitoa muhanga mwisho wa siku tunalaumu men ! Men wataendelea kuwa kichwa why tujirahisishe! Mkaka we chagua umpendae kwa dhati! Everyone should be responsible for his/her actions! Sio mwanaume tu wa kulaumu! Hata wadada kwa kuishi maisha fake! A boyfriend is not your husband God damn it! Why mnahalalisha visivyo halalika
 
Its okay dear ni kumsamehe tuu hakujua alitendalo. Unaona ukiishi maisha ya kishetani , shetani anadanganya watu sana, anawatala ,na kutawala mpaka akiona amekumaliza then anakuacha, akishakuacha ndipo hapo tunapoanza kuchanganyikiwa kwa maana kila corner na sehemu hapakaliki, kote kunawaka moto unless Roho Wa mungu akufuate na kukuambia its not too late come thee to drink that water ,so it can take your thirst away . Mkaka inabidi to surrender to Jesus and repent . baada ya hapo ajifunze kuishi maisha matakatifu yampendezayo Mungu. dear just msameheni, na jitahidini kumshauri vizuri before its too late . Thanks!

hakuna cha shetani hapa kwani alimwekea P.O.P ili isimame si aliweka akili na mwili ikasimama yenyewe na akakojoa akapata raha leo hii eti shetani kamzidi shetani shwaini huyu mfyuuuu
 
Jamani nyie watu mbona mnakuwa selfish!! Kweli kakosea na hao wadada wamekosea pia! wakina dada tunapenda kujitoa muhanga mwisho wa siku tunalaumu men ! Men wataendelea kuwa kichwa why tujirahisishe! Mkaka we chagua umpendae kwa dhati! Everyone should be responsible for his/her actions! Sio mwanaume tu wa kulaumu! Hata wadada kwa kuishi maisha fake! A boyfriend is not your husband God damn it! Why mnahalalisha visivyo halalika
ndiyo lakini huyu jamaa kwa hiyo atese mama na mtoto kisa wanawake hawakujua wako wawili yani ni wa kuchoma moto
 
Mwanamke wa kweli ni yule mwenye msimamo haya mambo ya shake well before use yanaingiza chaka wadada wengi! Na kama ni nyege zinakusumbua fanya ila at your own risk!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom