Msabaha lk
Member
- Apr 21, 2012
- 84
- 21
Dr Jakaya Kikwete (mh.) rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema wote waliokopa mkwanja kutoka heslb(bodi ya mikopo) wanapaswa kurudisha ili watoto wengine wa wakulima waendelee kunufaika na mabilioni hayo. Ameyasema hayo alipokuwa chuo kikuu cha kiislam cha morogoro. Pia amedokeza kuwa sirikari imetenga mkwanja mwingine kiasi cha bil 346 kwa ajili ya watanzania 98 elfu watoto wa wakulima. Ovaaa!