Mcharuko
JF-Expert Member
- Sep 25, 2011
- 209
- 172
Habari za asubuhi kaka zangu na dada zangu, Leo nimeamka nikijiuliza
Swali hili, HAKUNA DIKTETA ALIYEBAKIA KATIKA AFRIKA?
Ukiacha hawa wanaoitwa Dokta/dakta .............................. hakuna
Dikteta................................. Mbona kuna baadhi ya maraisi hapa
Afrika wanafanana na Madikteta? (Sijakusudia wa TANZANIA)
Swali hili, HAKUNA DIKTETA ALIYEBAKIA KATIKA AFRIKA?
Ukiacha hawa wanaoitwa Dokta/dakta .............................. hakuna
Dikteta................................. Mbona kuna baadhi ya maraisi hapa
Afrika wanafanana na Madikteta? (Sijakusudia wa TANZANIA)