Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,243
Boss Mimi binafsi nampongeza Mhongo kwa maamuzi aliyofanya, hata kama ni kwa kushinikizwa lakini ametekeleza kile ambacho bunge lilipendekeza na ambacho wananchi walikuwa wanakisubiri kwa hamu. Ni moja ya uzalendo na uwajibikaji. Ni mategemeo yangu kuwa waliobaki au walioingia upya katika nyazfa mbali mbali wamejifunza kutoka sakata hili la escrow. Kinachonikera ambacho bado sijapata majibu yake ni fedha hizo zilizopotea, zitarudije ili ziwafae maskini vijijini na wanafunzi wanaokosa hadi chaki ya kuandikia kama hatujataja madawati ya kukalia?
Mnafiki huyu, mpaka rais kamuwekea mashushushu wamegundua ana billions of shillings kwa account yake ya siri ndio akatonywa ajiuzulu mapema kwasababu habebeki.