Wosia aliouacha prof Muhongo mmeuelewa?

Kwa tunaoelewa mambo Muhongo yupo sahihi. Norway ilipopata mafuta haikukabidhi wazawa kuendesha uchimbaji, ilileta wa USA, ila ilichokifanya ni kusomesha watu wake (pia kufungua vyuo vya Trondheim na Stavanger university) ili kusomesha wataalam. Ilichokifanya ni kuwa na umiliki kupitia serikali. Ilipofika kipindi wakaona labour force inatosha waliwafukuza wa USA na serikali kupitia STATOIL wakaendea na uchimbaji na wazawa wanachofaidi ni supporting industries (mfano vyakula, repairs za mitambo, ulinzi etc). Hiyo model iko pia uarabuni etc. sasa kwa nchi kama Tanzania hao akina mengi hawana ubavu na niwabinafsi. Model ilioichukua serikali ni sahihi, na uzuri mikataba ilishatiwa sahihi hakuna wa kubadilisha.
kwamba heri kuwatajirisha wageni kuliko watanzania wenye gesi yao? nilizima watanzania washiriki kikamilifu kuanzia hatua ya kwanza ya uendelezaji wa miradi ya gesi hata kwa partnership na makampuni ya nje zaidi ya hapo yatakuwa Yale Yale ya madini. tujifunze jamani.
 
kwamba heri kuwatajirisha wageni kuliko watanzania wenye gesi yao? nilizima watanzania washiriki kikamilifu kuanzia hatua ya kwanza ya uendelezaji wa miradi ya gesi hata kwa partnership na makampuni ya nje zaidi ya hapo yatakuwa Yale Yale ya madini. tujifunze jamani.

Sasa si ndo muhongo alikuwa anafanya ivyo kupitia TANESCO ila mengi anataka apewe yeye peke yake
 
Dude you can not invent a car or computer; vilishavumbuliwa kitambo! so we don't have to copy & paste the Norwegian model, kufanya hivyo kwa Muongo ilikuwa na agenda ya wizi na ufisadi kwa tafsiri yoyote; ambayo ilikuwa ni sababu kubwa ya kauli zake za kifedhuli kwa wananchi, Anyway he is gone; Good riddance, believe me you; inch by inch, we shall tear to shredds mikataba yote ya kifisadi, yote! It is a matter of time like it took for Muongo to GET IT and resign; if he was not pushed anyway!!

Hujui english andika kiswahil mkuu unachapia sana.
 
Halafu tena anasema yeye kapeleka umeme vijijini! Pu! Utadhani gharama zinatoka mfukoni mwake! Gharama zinatoka baada ya kupandishiwa gharama za bili za umeme wa watz wote wanaotumia umeme kupitia REA. Asijidai, hana lolote.
 
Wosia awape nyie hawara zake mnao mtetea..kaiba hela za escrow... Anaweka palinge na mengi..kaufyata
 
Kachota hela za escrow - through act of ommission. Mabilioni yanachotwa kutoka Bot yeye anakodoa tu mimacho?
Sasa kama uyu anawajibishwa kwa nini Raisi na yeye asiwajibishwe maana kauli ya muhongo ni kwamba pesa ya ESCROW sio ya Serikali na Rais amesema ile pesa sio yetu yani kwq lugha nyingine hakuna pesa iliyoibwa, tena kasema mbele ya UMMA, unaposema ameiba ndo sielewi wakati Raisi kasema pesa sio ya UMMA
 
Aende akafie mbali huko ameshazoea kutuadaa watanzania na leo katuadaa tena eti anajiuzulu wakati katimumiliwa! Kweli huyu muongo.wap interval kati ya muda wa wa kujiuzulu na muda wa kuapisshwa muda
 
Kwa tunaoelewa mambo Muhongo yupo sahihi. Norway ilipopata mafuta haikukabidhi wazawa kuendesha uchimbaji, ilileta wa USA, ila ilichokifanya ni kusomesha watu wake (pia kufungua vyuo vya Trondheim na Stavanger university) ili kusomesha wataalam. Ilichokifanya ni kuwa na umiliki kupitia serikali. Ilipofika kipindi wakaona labour force inatosha waliwafukuza wa USA na serikali kupitia STATOIL wakaendea na uchimbaji na wazawa wanachofaidi ni supporting industries (mfano vyakula, repairs za mitambo, ulinzi etc). Hiyo model iko pia uarabuni etc. sasa kwa nchi kama Tanzania hao akina mengi hawana ubavu na niwabinafsi. Model ilioichukua serikali ni sahihi, na uzuri mikataba ilishatiwa sahihi hakuna wa kubadilisha.

Jamani mbona Watanzania tunachepuka kiasi hiki?? Hivi ni kweli hatujui kilichomwondoa Muhongo?? Kukataa kuuza vitalu kwa wazawa kunahusishwa vipi na kuachishwa uwaziri? Yeye kaachishwa au kajiuzulu uwaziri kutokana na kashfa ya Escrow Account. Kwa nini tutafute visingizio wakati hali ni nyeupe kabisa? Halafu inasemekana Mengi aliyepingana naye kuhusu uamuzi wa kutouza vitalu ndiye eti aliyeshinikiza Muhongo kuhusishwa na hii kashfa ya escrow!! Hivi Mengi anaweza kushawishi TAKUKURU, CAG, PAC, Wabunge wote na wa CCM pia, na hata wafadhili?? Ana nini huyo Mengi? Au kashfa ya ESCROW ni ya kugushi? Sasa kama AG na waziri aliyepewa pesa za ESCROW wote wamejiuzulu kwa kashfa hiyo ya ESROW Account, kwa nini aliyeidhinisha uchotwaji wa hizo pesa yaani Muhongo asingekuwa wa kwanza kujiuzulu??
 
Tatizo la dhahabu ni uhuni wa mzee mkapa na genge lake.
Kwanza kabisa kipindi cha kuruhusu uchimbaji wa madini tanzania hatukuwa na wataalam ( hata waliokuwepo hawakuwa na experience na wachache). Kosa lililofanyika na serikali ni kuacha kusomesha au kuwapeleka wataalam kupata ujuzi, kwa maana nyingine hapakuwa na succession plan, hatukuwa na wakaguzi waliobobea kwenye madini (nakumbuka kuna jamaa yangu mmoja alipata kazi ya ukaguzi wa madini wakati yeye ni mkaguzi wa kawaida tu hakuwa na utalaam wa madini).

Pili serikali iliwaamini sana wazungu kupitia rushwa na akina mzee mkapa wamelamba sana. Na kibaya zaidi serikali haikuwa na mtu mwenye uchungu na maliasili zetu yaani mpaka bungeni.

Ila Muhongo mchango wake mkubwa ni kuacha hiyo successsion plan na kuwezesha umiliki wa mafuta na gesi mikononi mwa serikali kupitia shirika lake.

Madini hata tukisema leo tupewe sidhani kama tunaweza jiendesha kwani waziri wa enzi hizo alikuwa mbumbu hakujua cha kufanya ili kutengeneza successsion plan.

Succession plan"

A good idea of all times.
 
Jamani mbona Watanzania tunachepuka kiasi hiki?? Hivi ni kweli hatujui kilichomwondoa Muhongo??

Hivi Mengi anaweza kushawishi TAKUKURU, CAG, PAC, Wabunge wote na wa CCM pia, na hata wafadhili?? Ana nini huyo Mengi? Au kashfa ya ESCROW ni ya kugushi? Sasa kama AG na waziri aliyepewa pesa za ESCROW wote wamejiuzulu kwa kashfa hiyo ya ESROW Account, kwa nini aliyeidhinisha uchotwaji wa hizo pesa yaani Muhongo asingekuwa wa kwanza kujiuzulu??

Ni wapi CAG au TAKUKURU aliposema Muhongo anausika? Yeye mwenyewe kasema waende kwenye mabenki na watafute alipopewa hela popote.

Halafu inashangaza sana serikari inapotaka kutufanya sisi mapimbi eti achukue group responsibility kwa maamuzi aliyoyafanya ya kuachia hela zitoke, what the F#@K aliesema hela za escrow zilipwe ni wizara ya nishati au shauri la mahakama baada ya kusikiliza kesi za wabia na kuamua kumalizana, hapo tena waziri analipi la kupinga.

Some people would have to pay the price na matendo yao one day kwa kuwapotosha watanzania na kuwalazimishia umaskini. Unaenda kupoteza mtu makini it must be said kwa sababu za kithenge sana, sijapata kuona upuuzi kama huu duniani. Hivi unadhani watu wawe wanatumia a lot of efforts kupotosha jamii na wewe ukae kimya tu halafu utegemee wananchi wakuelewe kwa majibu yako yenye long gaps? halafu unasema ni maamuzi ya yanayotokana na maazimio ya bunge mbona hilo bunge alikugusia ni nani alietoa shauri la malipo ambapo ni mahakama yetu.

Uitaji kuwa smart kujua Simbachawene wizara si size yake kuna wizara za kufurahishana huko sijui kwenye mavazi na sanaa na sehemu zingine ni vitega uchumi vya taifa avitaki mtu yeyote zaidi ya professa mwenye experience na hayo mambo it is simple as that.

Escrow ni kwa sababu waziri aliyeileta miaka ya tisini hakuwa makini leo mali zote zinazogundulika kwenye madini unamweka simbachawene waziri wa wizara muhimu hivyo mtu ambae ajui lolote kuhusu haya mambo hata kama TPDC kuna kipanga lakini walau waziri awe na level fulani ya competence, tumesahau haraka mikataba mibovu ya huko Geita, dowans, IPTL, songas and the like; stupid Tanzania government.
 
hana lolote sasa hivi ndo anajifanya kuwa na uchungu na rasilimali za nchi... aende uko..

Ninakushauri, pengine na wadau wengine wasiofahamu, utafute, usome na kuielewa sera ya Tanzania ya gesi asilia ambayo Prof. Muhongo aliasisi, kuisimamia na baadaye kupitishwa na Baraza la Mawaziri dhidi ya upinzani mkali wa Benki ya Dunia. Baada ya hapo urudi JF kuposti juu ya Muhongo. Tafadhali mdau yeyote asi-comment hapa kabla ya kusoma sera husika.
 
Jamani mbona Watanzania tunachepuka kiasi hiki?? Hivi ni kweli hatujui kilichomwondoa Muhongo?? Kukataa kuuza vitalu kwa wazawa kunahusishwa vipi na kuachishwa uwaziri? Yeye kaachishwa au kajiuzulu uwaziri kutokana na kashfa ya Escrow Account. Kwa nini tutafute visingizio wakati hali ni nyeupe kabisa? Halafu inasemekana Mengi aliyepingana naye kuhusu uamuzi wa kutouza vitalu ndiye eti aliyeshinikiza Muhongo kuhusishwa na hii kashfa ya escrow!! Hivi Mengi anaweza kushawishi TAKUKURU, CAG, PAC, Wabunge wote na wa CCM pia, na hata wafadhili?? Ana nini huyo Mengi? Au kashfa ya ESCROW ni ya kugushi? Sasa kama AG na waziri aliyepewa pesa za ESCROW wote wamejiuzulu kwa kashfa hiyo ya ESROW Account, kwa nini aliyeidhinisha uchotwaji wa hizo pesa yaani Muhongo asingekuwa wa kwanza kujiuzulu??

Mkuu kina watu walilipwa ili kumtetea Muhungo mi nadhani yaani wanathubutu kwenye nyeupe kusema nyeusi na nyeusi kusema nyeupe,hawapendi kushitikisha akili muda wote wao ni kutafuta visingizio tu na sio ukweli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom