Wosia aliouacha prof Muhongo mmeuelewa?

Wosia aliouacha prof Muhongo mmeuelewa?

Uhuni aliofanya Muhongo leo hata Mimi niliwahi kuufanya pale Vwawa, nilimpiga jamaa nikamtoa manundu halafu nikakimbia fasta kwenda kushtaki polisi. Jamaa alipopata nguvu na kwenda kushtaki akakuta tayari askari wanajipanga kwenda kumkamata. Ndio ya Muhongo leo, alijua fika kuwa anapigwa chini na mawaziri wapya wameitwa kuapishwa, akawahi kuitisha press conference kabla ya muda wa Ikulu kuzuga kuwa amejiuzuru. Tujiulize, je asingejiuzuru angebakia kwenye baraza jipya? Je hao mawaziri wapya walioapishwa walipewa notice ya masaa manne kati ya kujiuzuru Muhongo na kuapishwa kwao?
Unaonekana huna unachojua katika kuishi kwako hapa tanzania.
 
Labda muhongo angekuwa mwanasiasa angeongea kisiasa ndio angeeleweka,kwani watalaamu hawajui siasa wanaongea fact il a tatizo la watanzania wanaaamini sana akin a kafulila na wenzake so tuwe wakweli nafsi zetu penye kuhitaji siasa na penye kuhitajika watalaamu tuache ,kwani ukisoma wachangiaji wengi hapa wpo kishabiki zaidi
 
Cv ya muhongo itaendelea kuwa juu na kazi yake ya kutukuka itakuwa palepale.

CV inakuwaje juu wakati mtu unasema sijiuzuru ng'o halafu kesho yake mtu mzima unajiuzuru kwa kuongea na watanzania wote.
 
ktk hotuba zake bungeni alipata kusema kuwa kwenye sakata la escrol hakuna hela ya umma ila cha kushangaza leo anajitetea kuw hausiki ma wizi wowote ktk account ile,.namnukuu"ktk report zote sijatajwa popote kuwa na mimi nimehusika kukwapua hela ile",hoja:-kama haupo kwenye report nasi kuna waliopo na kama **** waliopo basi unakili kuwa wabeiba..shame on u prof.
 
Kwa taarifa zilizopo ni kwamba baada bunge kwisha muhongo at agenda a.kusini kwa ajili kusimamia mradi mkubwa wa umeme
 
Kujiuzulu kwa Prof.Muhongo ni pigo kubwa sana kwa wapenda maendeleo.

Kama wapenda maendeleo ndio nyie walamba miguu ya mafisadi basi mchukueni mumpe kazi ya kisafisha viatu pale Lumumba. Profesa kuwa mwizi ni aibu ya dunia nzima
 
Upo sahihi kabisa. Lakini sisi tumbili kawaida yetu kuibiwa tu. Mbona dhahabu imechimbwa na kuondoka hatujafaidi lolote sana sana wazawa wamefukuzwa kwenda sehemu za mashamba yao kupisha uchimbaji, wengine wameuwawa na wengine wanakunywa maji ya sumu (mercury) lakini Muhongo hajafanya kitu hapo. anakuwa na uchungu wa mafuta na gesi wakati rasilimai nyingine inaondoka yupo yupo tu. Hao aliokuwa anawapata mikataba ya gesi ndiyo hao hao walikuwa wanachimba dahabu.

Tatizo la dhahabu ni uhuni wa mzee mkapa na genge lake.
Kwanza kabisa kipindi cha kuruhusu uchimbaji wa madini tanzania hatukuwa na wataalam ( hata waliokuwepo hawakuwa na experience na wachache). Kosa lililofanyika na serikali ni kuacha kusomesha au kuwapeleka wataalam kupata ujuzi, kwa maana nyingine hapakuwa na succession plan, hatukuwa na wakaguzi waliobobea kwenye madini (nakumbuka kuna jamaa yangu mmoja alipata kazi ya ukaguzi wa madini wakati yeye ni mkaguzi wa kawaida tu hakuwa na utalaam wa madini).

Pili serikali iliwaamini sana wazungu kupitia rushwa na akina mzee mkapa wamelamba sana. Na kibaya zaidi serikali haikuwa na mtu mwenye uchungu na maliasili zetu yaani mpaka bungeni.

Ila Muhongo mchango wake mkubwa ni kuacha hiyo successsion plan na kuwezesha umiliki wa mafuta na gesi mikononi mwa serikali kupitia shirika lake.

Madini hata tukisema leo tupewe sidhani kama tunaweza jiendesha kwani waziri wa enzi hizo alikuwa mbumbu hakujua cha kufanya ili kutengeneza successsion plan.
 
Matokeo ya uchunguzi yawekwe wazi apandishwe kizimbani kuhusu hiyo hiyo escrow.
 
Muhongo alitaka kuwamilikisha gesi yote watu wa nje leo baada ya kung'oka ndo anasema gesi iwanufaishe wachache akina nani, afadhali iwanufaishe wachache wazawa kuliko wachache kutoka ughaibuni

Acha uongo. Serikali inamiliki sehemu kubwa ya gesi na mafuta. Na usiwe mvivu wa kujisomea ili uelimike. Kitu ambacho Muhongo alikosea ni kauli zake ila juu ya umiliki alikuwa sahihi. Wewe niambie kina mengi wakipewa vitalu utafaidika nini??? Maana ikiwa ndani ya serikali kama ilivyo sasa inaweza kusaidia social welfare (huduma za afya, elimu n.k.). Lakini unategemea mengi akimiliki sehemu kubwa ya gesi utafaidika??? Je mengi atajenga hospital??? Je mengi atatoa hela ya kujikimu kwa vijana wasio na ajira??? Hii dhana ya uzawa na mafuta ni ngumu sana haswa kwa watanzania mbumbu kama lema na genge lake. Na wengi mtapotoka na kuona eti wazawa wameonewa.
 
Huo ndio ukweli kuwa gesi inanufaisha na itanufaisha wachache kama ambavyo ilivyo katika madini...
 
Yes, ni kweli tutamkumbuka kwa kuwa Prof mbabaishaji anayetegemea majivuno na hisia binafsi kwenye mambo ya kitaifa. Lakini hatimaye alidhalilika.

siwaamini maprofesa tena. prof tibaijuka ni kielelzo kuwa maprof ni wapuuzi. nadhan kama nitasoma japo udaktar sio uprof hawana impact yotote.

Ona huyu muongo. wanatudanganya kama watoto wao.
 
Aende akalime mihogo huko kwao gesi siyo Mali ya mjomba wake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom