Le' Cappuccino
Member
- Jan 18, 2015
- 35
- 8
Wameficha mikataba waliofunga na makampuni ya kuchimba gesi na mafuta leo hii anakuja kusema tuwe makini. Angeanzia kuiweka wazi hiyo mikataba.
Tatizo la dhahabu ni uhuni wa mzee mkapa na genge lake.
Kwanza kabisa kipindi cha kuruhusu uchimbaji wa madini tanzania hatukuwa na wataalam ( hata waliokuwepo hawakuwa na experience na wachache). Kosa lililofanyika na serikali ni kuacha kusomesha au kuwapeleka wataalam kupata ujuzi, kwa maana nyingine hapakuwa na succession plan, hatukuwa na wakaguzi waliobobea kwenye madini (nakumbuka kuna jamaa yangu mmoja alipata kazi ya ukaguzi wa madini wakati yeye ni mkaguzi wa kawaida tu hakuwa na utalaam wa madini).
Pili serikali iliwaamini sana wazungu kupitia rushwa na akina mzee mkapa wamelamba sana. Na kibaya zaidi serikali haikuwa na mtu mwenye uchungu na maliasili zetu yaani mpaka bungeni.
Ila Muhongo mchango wake mkubwa ni kuacha hiyo successsion plan na kuwezesha umiliki wa mafuta na gesi mikononi mwa serikali kupitia shirika lake.
Madini hata tukisema leo tupewe sidhani kama tunaweza jiendesha kwani waziri wa enzi hizo alikuwa mbumbu hakujua cha kufanya ili kutengeneza successsion plan.
Mkuu kama watanzania wenyewe ndo hao wenye akili kama zakina Roho Mbaya kwa nini wasitudharau?Lazima tumkumbuke maana kauli yake kwamba watanzania ni wababaishaji na kwamba wana hela za juice haitafutika leo wala kesho. Unakumbuka aliyetuambia tule nyasi ili...Hivi kuna nchi yenye rekodi ya kuwa na viongozi wanaodharau wananchi wao kama yetu ??
Muhongo ni panya kama panya wengine ndani ya ccm.apuuzwe tu hana jipya zaidi ya hadaa.Wameficha mikataba waliofunga na makampuni ya kuchimba gesi na mafuta leo hii anakuja kusema tuwe makini. Angeanzia kuiweka wazi hiyo mikataba.
Mkuu hajakodoa macho tu bali pia nae alibeba kwa kiloba pale stanbicKachota hela za escrow - through act of ommission. Mabilioni yanachotwa kutoka Bot yeye anakodoa tu mimacho?
Naunga mkono hoja.Mwizi namba moja ni Kikwete na ndiye alitakiwa kuwajibika kwanza au kuwajibishwaLakini chanzo cha matatizo yote haya ni Kikwete!
Cv ya muhongo itaendelea kuwa juu na kazi yake ya kutukuka itakuwa palepale.
Prof. Muhongo atabaki kuwa mtu ambaye ameitendea haki nchi hii kwa kusimamia vyema wizara yake. Ameleta mabadiliko makubwa sana kwenye idara ambazo zipo chini ya wizara. Ameingia kuna mgawo wa Umeme wa kufa mtu, watu wanapiga dili za udalali wa kuuza majenereta, leo maduka ya majenerata hakuna.Yes, ni kweli tutamkumbuka kwa kuwa Prof mbabaishaji anayetegemea majivuno na hisia binafsi kwenye mambo ya kitaifa. Lakini hatimaye alidhalilika.
Wazawa gani? Madalali?Muhongo alitaka kuwamilikisha gesi yote watu wa nje leo baada ya kung'oka ndo anasema gesi iwanufaishe wachache akina nani, afadhali iwanufaishe wachache wazawa kuliko wachache kutoka ughaibuni
R.I.P MuongoMuhogo tutakukumba daima
hana lolote sasa hivi ndo anajifanya kuwa na uchungu na rasilimali za nchi... aende uko..
Nabii hakubaliki kwao, nenda kafanye yako huko majuu!
Sijasema gas processing plant,nimesema installation ya mabomba,issue ya valves na compressors si issue kivile pia!!Duh ivi unazani installation ya gas kama maji?