Boutafrica
JF-Expert Member
- Dec 11, 2014
- 954
- 2,070
Katika series ya zilizala la escrow linaloendlea kupukutisha vigogo,leo ktk zamu ya prof Muhongo kufungasha virago kuna maneno machache kawaachia watz kwamba yeye anaondoka lakn wananchi muwe makini na RASILIMALI YA GESI HUENDA IKAWAFAIDISHA WATU WACHACHE NA FAMILIA ZAO TU..sasa me najiulza hivi kile kiporo kimechacha kabla ya kuliwa au ndo "UKIMWAGA UGALI NAMWAGA MBOGA".