Some illuminatics stuffs!
Childish idea...[/QUOTE
That's my idea sir!
Yeaah some of them kaka zimekaa kiiluminatics afu kila black statue hapo eti wameweka wameiterm kama ghost...that ain't fair!
Ila nimependa ile ya library ina sink, that's magnificent creation thought!.
Ndugu yangu haya mambo ya illuminati mengi ni ya kufikirika na uzushi uzushi na stori za kwenye kahawa.
Kama huamini wewe fanikiwa nunua gari mbili tatu utasikia watu wanaanza kukuita freemasom wakati uli struggle vya kutosha
Not that way Saint Ivuga
Read my post 👆👆👆👆👆
nimeisoma nikagundua kuwa kulikuwa na perceptions mbili kwenye tafsiri moja wakati jamaa akiongelea hizo sanamu kama alama za illuminant kwa nia njema kabisa wewe ulichukulia wayasemayo watu wa mitaani ambao hapa sio valid
Mshana hapo sijakuelewa.
Hivi una jua hizo statue zingine ni za zamani sana ? Ka ukisoma world history na kila statue ina maelezo ya kwa ni kwa nini waliamua kuijenga.
In short, bado sijaelewa vizuri tunachopingana, but my view is hakuna ststue hata moja inayo husiana na illuminat
Nafikiri hatupingani bali tumekuwa na mitizamo tofauti kwenye kitu kimoja Saint Ivuga kuna baadhi ya statues hapo zina connection na illuminant na pia kumbuka illuminant nayo sio ya jana au juzi hebu soma kuhusu luciferianism, nina post moja kule jukwaa la dini hebu tembelea nitakutag kama una access ya kuingia kule
Mimi labda nilichotofautiana nawe kidogo ni ile myth ya illuminant/freemason kwa mtazamo wa mitaani
Hadi leo siamini kuna kitu kinaitwa illuminati.