Mwana Kwetu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 652
- 562
Shirika hili ni la dini ila hizi habari nimezisikia nataka kupata uhakika kama kuna tabia ya wakubwa kuwa na mahusiano na wafanyakazi wa kike. Chanzo chetu kinasema eti ili mwanamama upate nafasi nzuri ni lazima baadhi ya wakuu wakupitie na kwamba wenye vyeo wamepata kwa stahili hiyo. Jamani mwenye habari zaidi za uhakika tafadhali atusaidie ili niiondoe au kuibakiza kwenye orodha ya NGO zilizoko kwenye blacklist.