World University Rankings 2014-2015

World University Rankings 2014-2015

udsm nacho chuo?? When it comes to global academics udsm ni takataka

Chuo ambacho kimetoa viongozi wengi maraisi,wakubwa wa serikali mbali mbali america ni Yale Univercity Kwa Africa ni UDSM ikifuatiwa na Makerere.UDSM inajulikana kama YALE of Africa kwa kuzalisha viongozi wengi wakubwa kuliko chuo chochote africa kama hujui.Hadi akina JOHN GARANG,MUSEVENI n.k wamepita hapo.Wengi walikuwa groomed hapo kuwa viongozi au walipokuwa walimu hapo wakafundwa wakatoka hapo viongozi.Usilolijua litakusumbua UDSM is a YALE OF AFRICA
 
Chuo ambacho kimetoa viongozi wengi maraisi,wakubwa wa serikali mbali mbali america ni Yale Univercity Kwa Africa ni UDSM ikifuatiwa na Makerere.UDSM inajulikana kama YALE of Africa kwa kuzalisha viongozi wengi wakubwa kuliko chuo chochote africa kama hujui.Hadi akina JOHN GARANG,MUSEVENI n.k wamepita hapo.Wengi walikuwa groomed hapo kuwa viongozi au walipokuwa walimu hapo wakafundwa wakatoka hapo viongozi.Usilolijua litakusumbua UDSM is a YALE OF AFRICA

Umesahau kitu muhimu mkuu kuhusu Udsm imtoa viongozi wa ovyo kabisa africa walioshindwa kuleta maendeleo kupitia elimu yao ya kunga unga baadhi ya Maprofesa kama Shivji wamekua kigeugeu ktk taaluma zao..!!

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Chuo ambacho kimetoa viongozi wengi maraisi,wakubwa wa serikali mbali mbali america ni Yale Univercity Kwa Africa ni UDSM ikifuatiwa na Makerere.UDSM inajulikana kama YALE of Africa kwa kuzalisha viongozi wengi wakubwa kuliko chuo chochote africa kama hujui.Hadi akina JOHN GARANG,MUSEVENI n.k wamepita hapo.Wengi walikuwa groomed hapo kuwa viongozi au walipokuwa walimu hapo wakafundwa wakatoka hapo viongozi.Usilolijua litakusumbua UDSM is a YALE OF AFRICA

Ni mawazo yako ila vyuo bora vipo hapo kwenye list na vinajulikana
 
Chuo ambacho kimetoa viongozi wengi maraisi,wakubwa wa serikali mbali mbali america ni Yale Univercity Kwa Africa ni UDSM ikifuatiwa na Makerere.UDSM inajulikana kama YALE of Africa kwa kuzalisha viongozi wengi wakubwa kuliko chuo chochote africa kama hujui.Hadi akina JOHN GARANG,MUSEVENI n.k wamepita hapo.Wengi walikuwa groomed hapo kuwa viongozi au walipokuwa walimu hapo wakafundwa wakatoka hapo viongozi.Usilolijua litakusumbua UDSM is a YALE OF AFRICA

Umeelezea vizuri wengi hupenda kukiponda tu kwa vile walikosa nafasi UDSM ni best in Africa
 
Street University ni ya ngapi kwenye rank mkuu?

Mmh! mbona Tanzania sijaiona

Sijahesabu lakini karibu robo ya hii orodha au zaid n USA tupu ikifuatiwa na uingereza

UDSM ya ngap?

Hii naona ungemuuliza Dk. a.k.a. Prof. Shigongo

Tumaini, IFM, MZUMBE na SAUT ni vya ngapi?


UDOM may be top 400 kitakuwepo!!

afadhali ulipoishia hapo kaka kwa sababu Udsm ingekuwepo kwenye hiyo list jukwaa lingechafuka!

udsm nacho chuo?? When it comes to global academics udsm ni takataka

wapi UDOM?

Mwenyekiti wa Kamati ya udumu ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (Pac), Deo Filikunjombe (pichani), ameagiza kuchunguzwa kwa vyuo vikuu vya Dar es Salaam (UDSM) na Dodoma (Udom), kwa madai ya kupata hati chafu kila mwaka wakati ni vyenye kuzalisha wataalam kwa wingi.

Akizungumza na waandishi wa habari, jana Jijini Dar es Salaam, katika ofisi ndogo za Bunge, ambako vikao vya kamati za Bunge vinaendelea, alisema ni aibu kwa vyuo hivyo kuwa na hati chafu.

Alisema kwa mujibu wa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG), vyuo hivyo kupata hati chafu ni jambo ambalo linatia mashaka hasa ikizingatiwa vimekuwa vikiandaa wataalamu mbalimbali.

"Vyuo hivi vinategemewa kuandaa wataalam mbalimbali na wengi wanatumika kwenye taasisi mbalimbali, lakini wanapata hati chafu, kuna haja ya kuchunguza kupata ukweli wa mambo," alisema.

Home
 
sibishani kijinga maana list inajitosheleza

baba wa jirani yako kanunua maharagi kwa ajili ya mboga ya familia yake, wewe unaanza kumcheka; wakati baba yako karudi kwenu mikono mitupu!!!
Endelea kucheka tu, utakaa kimwa ukikumbuka kama hujala na hujui kama utakula lini!!!
 
Mwenyekiti wa Kamati ya udumu ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (Pac), Deo Filikunjombe (pichani), ameagiza kuchunguzwa kwa vyuo vikuu vya Dar es Salaam (UDSM) na Dodoma (Udom), kwa madai ya kupata hati chafu kila mwaka wakati ni vyenye kuzalisha wataalam kwa wingi.

Akizungumza na waandishi wa habari, jana Jijini Dar es Salaam, katika ofisi ndogo za Bunge, ambako vikao vya kamati za Bunge vinaendelea, alisema ni aibu kwa vyuo hivyo kuwa na hati chafu.

Alisema kwa mujibu wa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG), vyuo hivyo kupata hati chafu ni jambo ambalo linatia mashaka hasa ikizingatiwa vimekuwa vikiandaa wataalamu mbalimbali.

"Vyuo hivi vinategemewa kuandaa wataalam mbalimbali na wengi wanatumika kwenye taasisi mbalimbali, lakini wanapata hati chafu, kuna haja ya kuchunguza kupata ukweli wa mambo," alisema.

Home
kiukweli hii taarifa niliisikia lakini sikuelewa izo hati chafu ni zipi zinazozungumziwa hapo.
 
Watajua wenyewe. Ninachojali ni kupata ka degree kangu na kupata kazi mkono uende kinywani
 
Yani kila mwaka 3 bora lazima vyuo vya technical/technolgy viwepo i.e MIT,CALTECH ipo siku tutaiona DIT au ATC,
 
Chuo ambacho kimetoa viongozi wengi maraisi,wakubwa wa serikali mbali mbali america ni Yale Univercity Kwa Africa ni UDSM ikifuatiwa na Makerere.UDSM inajulikana kama YALE of Africa kwa kuzalisha viongozi wengi wakubwa kuliko chuo chochote africa kama hujui.Hadi akina JOHN GARANG,MUSEVENI n.k wamepita hapo.Wengi walikuwa groomed hapo kuwa viongozi au walipokuwa walimu hapo wakafundwa wakatoka hapo viongozi.Usilolijua litakusumbua UDSM is a YALE OF AFRICA
.........Aha ha ha ha ha!! duuuh, kaka umeamua kukishushia hadhi yaani hujaona viongozi wote ambao ni mfano mzuri hadi umeamua kukisifia UDSM kwa kutoa wasomi wazuri akina GALANG na MUSEVENI.

Kuna mdau mwingine hapo juu kakukumbusha kuwa ni chuo ambacho kinaongoza kwa kutoa viongozi wa ovyo kabisa lol!!

Kweli JF ni raha tupu yaani mtu anasifia vyuo lakini yeye mwenyewe maandishi yake unaona kabisa hicho chuo hakijamkomboa kitu kichwani na ukicheki hata kama anafanya kazi basi kazi yenyewe aliipata kwa magumashi sio kwa uwezo wake katika utendaji.

Watu wakianza kusifia majengo ya vyuo vya Bongo hadi utafurahi, siku itabidi uitishwe mjadala hapa wa watu waliosoma vyuo mbali mbali vya ndani na nje ya nchi wajadili mada fulani ndo mtakapoona maana ya chuo ni majengo au kile walimu wanachopandikiza katika vichwa vya wanafunzi.

Mi navipenda vyuo vyote vya Tanzania na nje ila tofauti ya vyuo hivyo huonekana kwa products zake makazini na sehemu mbalimbali.

......Ni mtazamo tu, neno langu sio sheria!!
 
Mwenyekiti wa Kamati ya udumu ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (Pac), Deo Filikunjombe (pichani), ameagiza kuchunguzwa kwa vyuo vikuu vya Dar es Salaam (UDSM) na Dodoma (Udom), kwa madai ya kupata hati chafu kila mwaka wakati ni vyenye kuzalisha wataalam kwa wingi.

Akizungumza na waandishi wa habari, jana Jijini Dar es Salaam, katika ofisi ndogo za Bunge, ambako vikao vya kamati za Bunge vinaendelea, alisema ni aibu kwa vyuo hivyo kuwa na hati chafu.

Alisema kwa mujibu wa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG), vyuo hivyo kupata hati chafu ni jambo ambalo linatia mashaka hasa ikizingatiwa vimekuwa vikiandaa wataalamu mbalimbali.

"Vyuo hivi vinategemewa kuandaa wataalam mbalimbali na wengi wanatumika kwenye taasisi mbalimbali, lakini wanapata hati chafu, kuna haja ya kuchunguza kupata ukweli wa mambo," alisema.

Home

Hahahahahaha! Wakati vyuo vyenzao wanapendeza kwenye taaluma wao wanashindana kuiba fedha za umma? Ni shidaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
Back
Top Bottom