World University Rankings 2014-2015

World University Rankings 2014-2015

Watajua wenyewe. Ninachojali ni kupata ka degree kangu na kupata kazi mkono uende kinywani
una akili sana kijana! Kwa hilo tu elimu ya kibongo ipo vizuri sana, kitakupa gamba utatafuta cha kulifanyia
 
Chuo ambacho kimetoa viongozi wengi maraisi,wakubwa wa serikali mbali mbali america ni Yale Univercity Kwa Africa ni UDSM ikifuatiwa na Makerere.UDSM inajulikana kama YALE of Africa kwa kuzalisha viongozi wengi wakubwa kuliko chuo chochote africa kama hujui.Hadi akina JOHN GARANG,MUSEVENI n.k wamepita hapo.Wengi walikuwa groomed hapo kuwa viongozi au walipokuwa walimu hapo wakafundwa wakatoka hapo viongozi.Usilolijua litakusumbua UDSM is a YALE OF AFRICA
Ni vizuri uwe unatutajia viongozi ambao ni mifano ya kuigwa ktk demokrasia na sio kila unayemtaja ametokea msituni. Hiyo inaonesha ndio chanzo cha matatizo hata TZ maana kinaandaa viongozi wabinafsi mno mpaka hata katiba hawapo tayari kuona inakuwa ya wananchi.
 
Ni vizuri uwe unatutajia viongozi ambao ni mifano ya kuigwa ktk demokrasia na sio kila unayemtaja ametokea msituni. Hiyo inaonesha ndio chanzo cha matatizo hata TZ maana kinaandaa viongozi wabinafsi mno mpaka hata katiba hawapo tayari kuona inakuwa ya wananchi.

Wengine MAARUFU waliosoma UDSM ni ni Joseph sinde Warioba,Profesa Palamagamba kabudi,Seif SHARIF Hammad,Professor Lipumba na James Mbatia
 
Nadhani itakuwa vizuri pia vyuo vikawa grouped. .. sio tu ranked. Yani labda kuwe na one star universities to five stars universities. Na vigezo vya kuwepo kwenye level fulani viwe clear
 
Back
Top Bottom