Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,825
Home B! Goli mbili ....siamini hilo kuwezekana.....!
So sad FIFA is antitechnology........
Dada Heinze kajirusha pale, tena ningekuwa refa ningempa yellow kadi ili waache Uarabu (fitina tulizozoea kuona wakifanya Waarabu hasa wakiwa wana-lead).
Hahahahah Rosario atasingizia Jabulane ball.....2-0
LOL!...sasa Amigos wakipata kamoja itakuwa ni 1-1 au 2-1?
duh bonge la bao ! acha nikanunue jezi ya TEVEZ
duh bonge la bao ! acha nikanunue jezi ya TEVEZ