Inawezekana Home B.....Mexico wanetawala kiungo so far na wana washambuliaji watatu wana asi sana pale mbele....Dos Santos,Hernandes na mwingine nimemsahau jina.....nina wasi wasi beki ya Argies kama itahimili kasi ya Mexico
Huyu jamaa asikosee akapita mitaa ya Tijuana kule Baja au akaja karibu na Laredo, wataalamu wa South of the border watamshughulikia na kumnyoa nyusi kwa ujinga aliofanya leo!
Siyo siri nimemkubali..Goli safi sana!!Bravo Tevez!!
Na hii mechi ni dk 90 tu hata ingekuwa 70 bado Argentina wangeshinda..Phew,sijapata presha leo! ingekuwa zile timu zetu,mmoja kadraw mwingine kafungwa au wote wamefungwa!!