World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)


Hawa jamaa wamechanganya damu kishenzi. Nilikuwa na mwambia mnugu
mmoja kwamba, hakuna pure black marekani hata kama ana rangi ya mpingo
akawa anabisha nikamwambia angalia pua zenu zilivyo ndefu na tofauti na zetu
waafrika akawa anacheka.

Unajua unaweza kuwa na kadominant gene kakakupa rangi nyeusi lakini overall
wewe sio mweusi. Ndio maana lazima uangalie ficha zote uweze ku make
conclusion.

Haya ma lable ya "black" ni kutaka tuu kusisitiza kwamba race fulani ni bora
 

Ewaaa...wewe ndio unajua sasa. Kwa nchi zilizo racially diverse kama Marekani na Brasil hakuna cha pure black wala nini. Wanugu wengi sana kwa mfano wana ancestry ya Amerindian. Mwangalie kwa mfano yule actress wa sinema za Blaxploitation, Pam Grier, utaziona kabisa features za Amerindian.

Na kama ulivyosema, complexion haimaanishi u-pure wowote.
 
GO GHANA GO!!!!!!!!!!

Execellent piece of work.......
 

Uelewe kuwa hata wazungu wengi huko brazil au amerika ambao wanaonekana kama white as snow wana damu za kiafrika.Unajua hata huyo watson mwenye blue eyes alikuwa ni 25 african?
 
......... Brazil and its football prowess is purely sociological. Brazil is number 1 mainly because of the African component of its team. The Brazilain authorites would like to change that if they ever got the chance.
 
Umeona eh!? Mimi nakwambia Rev hizi nyimbo za Taifa zinawagusa sana hawa wacheza, mimi huwa sitaki kuzikosa kila zinapopigwa kabla ya mechi. Haya game ndiyo inaanza rasmi.

I am also emotional about the National Anthem actually any nationalistic song, I can not Imagine how I will feel if Mungu Ibariki Tanzania was sung in my honor. I was once out of the country, and for some reason I started singing sisi tunataka kuwasha Mwenge, he nikaanza kujaa fundo shingoni. Yuele Mkorea alipotoa machozi nilimuelewa.
 
Ghana won made to the quarter finals,Usa proves to the world the soccer grows fast in Us , more news visit my profile page and click ''free money'' on my profile stage :dance:
 
Ghana won, we congratulate them,Us did play well also, only to be eliminated in the 30 minutes of added time,the later proves to the world that the soccer grows very fast in US!!!more infor and news visit ma profile page and click" freemoney" on a private massage wrote to the readers karibu janvini watanzania
 
Uelewe kuwa hata wazungu wengi huko brazil au amerika ambao wanaonekana kama white as snow wana damu za kiafrika.Unajua hata huyo watson mwenye blue eyes alikuwa ni 25 african?

Oh yeah...kuna wazungu wengi ambao na o uki trace ancestry yao utagundua walau wana vi asilimia fulani vya asili ya kiafrika. Ndio maana namwambia Companero ktk jamii diverse kama Marekani na Brasil, watu pure in terms of race ni wachache au hakuna kabisa.
 

Mimi siongelei mambo ya mbari na nasaba kama sababu ya mafanikio, hizo ni hoja zako. Nachosema ni kuwa hata ukitumia hizo hoja za mbari na nasaba bado utagundua kuwa Waafrika wengi ambao hawajachanganya 'damu' wanafanikisha mambo ulimwenguni - Hivi unadhani Altidore na Eddu lazima wawe wamechanganya damu? Fuatilia tena historia ya utumwa na usambaaji wa watu wenye 'asili' ya Afrika duniani utaona ni wengi tu hawakuchanganya 'damu' kutokana na sheria na adhabu kali za kuzuia kuchangamana kwa 'weusi' na 'weupe'! Wazungu walikuwa wanaogopa sana hicho kitu mnachokiita miscegenetation (uchangaji wa nasaba) na waliwaua sana wanugu waliojichanganya na watasha!
 
Uelewe kuwa hata wazungu wengi huko brazil au amerika ambao wanaonekana kama white as snow wana damu za kiafrika.Unajua hata huyo watson mwenye blue eyes alikuwa ni 25 african?

Hizi hoja zenu zinaweza kutumika na huku kwetu, Kilimanjaro masetla na wamishionari wali-sow wild oats!
 

Altidore na Edu nadhani ni watoto wa wahamiaji hawa...sio wa descendants wa watumwa wa kinugu. Huyu Altidore ana asili ya Haiti na huyu Edu ana asili ya Nigeria.


Sheria gani unazozizungumzia wewe? One drop rule au? Hivi W.E.B.DuBois wewe unamwonaje yule? Halafu na vipi wale wazungu waliokuwa wanawabaka wamama wa kitumwa wa Kiafrika na kuwazalisha...? Rejea historia ya Frederick Douglass...yule American abolitionist......Au umewahi kuwasikia Muhammad Ali na Malcolm wakielezea ni wapi wameutoa u light skinned wao?
 
Nawapongeza saaaaaaaana Ghana kwa kufuta ndoto za Obama kutua sauz. Nikitupa karata yangu kati ya Argentina na mexico ambao Ghana atacheza na mshindi kati yao, naona kabisa Ghana atakwaana na Argentina kwenye fobo finale. ...sijui, ila nawatakia kila linalowezekana...
 
Ghana wataibuka kidedea; watatoka droo katika dakika 90 za kwanza, halafu watatoka droo tena katika dakika 30 za nyongeza. Sasa katika kupigiana penati, kipa wa Argentina atazuia moja, na nyingine zote zitaingia. Kipa wa Ghana naye atazuia moja ila kiki moja ya Argentina itagonga mwamba na kutoka nje. Ghana watakuwa washindi kwa njia ya penalt 4-3.

Mpaka hapo watakuwa wamejipatia kitita cha dolari za kimarekani millioni 14 kuwawezesha kuendeleza kabumbu huo Accra na Kumasi; wafanya mchezo!!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…