World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

he he he KOBE BRYANT yuko leo kaja kuwaangalia wamarekani WALIOSHINDWA basketball/baseball na AMERICAN FOOTBALL.......
 
Kma namuona Kevin Prince Boateng anavyolitawala dimba ha ha ha.watoto wa Obama leo watakoma, kama tuna msukuma mlevi .
 
Tupeni raha Ghana! Afrika yote inawategemea ninyi......I am missing Essien wa Chelsea for Ghana!
 
Kwanza Ghana wanatakiwa kukubali kwamba USA ni zaidi yao (kutokana na statistics za FIFA) na za mechi zilizopita. Pili waamue kucheza mpiara wa nguvu, speed na umakini golini. Defence inapaswa kuwa makini muda wote. Wapigane dakika zote bila kuchoka wala ku-loose inspiration. Go Ghana... ukiboronga Go USA wote ni wangu... poa tu.
 
Its gonna be tough, but in Ghana I trust...but am already sweating and they are just playing the national anthem!
 
Sikujua unafanyaga Pilates na wewe...hebu mwambie hivo mama mchungaji uone kama hutalalia kochi leo....msalimie pia. Mwambie leo chant yangu ni Yes we can....

Mama Mchungaji anauliza, ule mvinyo ulioahidi mwaka 2008 unakuja na konokono? Usiwe na hofu tulikuwa wote tukijifnuza mbinu za Pilate ku-incorporate mahubiri!
 
Refa Refa Refa ,rekodi ya refa ni nzuri sana inawafaa Ghana kwa style yao wanayocheza.(rekodi yake ni katoa kadi za njano 4 tu kwenye mechi 2).
 
Duh, Dempsey uchozi unamtoka kama yule Mkorea Jong Tae Se!

Umeona eh!? Mimi nakwambia Rev hizi nyimbo za Taifa zinawagusa sana hawa wacheza, mimi huwa sitaki kuzikosa kila zinapopigwa kabla ya mechi. Haya game ndiyo inaanza rasmi.
 
wacha naweee.....huwa nakuhurumiaga wewe

hehehe leo ni sikukuu aisee, nalogi auti kuna mzembe anataka kutumia neti lakini GHANA ikishinda hakikisha unanipatia garama zako za wiki nzima ,nitasimamia mimi heeheheh
 
Kwa kweli Nipo upande wa USA, maana wao wana-target ya kuchua kombe wakati Ghana wana-target ya kufika nusu fainali. Kama USA itashinda itakuwa ni big boost for FIFA's effort to make football in US as competive as Kikapu
 
heheheeeeeeeeee goallllllllllllllllllllllll Ghana hoyeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom