Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Sasa nahamia Brasil...taifa kubwa Amerika ya Kusini.....hawa na-ride nao mpaka mwisho......
Wana mechi ngumu sana na Chile.................Usishangae Chile akimlamba Brasil na kumbebesha virago aisee......Wanajuana vizuri sana hawa