Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Kubababababaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaake
ha ha ha umeamka sio?
Kubababababaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaake
Miafrika bana..inawapa ujiko US wa bure..Ngoja nitanbae zangu kwene sketi.
ha ha ha umeamka sio?
Ha ha tulia yakhe, ndo kwanzaa asubuhi ati!.Miafrika bana..inawapa ujiko US wa bure..Ngoja nitanbae zangu kwene sketi.
ha ha unakula mboga sio, kwi kwi kwi!.Hizi mbawa za kuku zilikuwa haziliki sasa appetite imerudi
Ha ha naona unaanza kuwarudi sio.........Tatizo Ghana walivyofunga kigoli kimoja basi walijiona wamewin, sasa wakifanya mchezo hapa USA itafunga la 2.
wanawapa ujiko tu hawa mabwenyenye........Tatizo Ghana walivyofunga kigoli kimoja basi walijiona wamewin, sasa wakifanya mchezo hapa USA itafunga la 2.
Ghana wana kipa mzuri mkuu, wasiwasi wangu ni hizi dakika za mwisho!........Tatizo Ghana walivyofunga kigoli kimoja basi walijiona wamewin, sasa wakifanya mchezo hapa USA itafunga la 2.
American haters eat a prick
we r not american haters mkuu we r african lovers lol.
Hivi how much did Ghana get paid to loose this game?