World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

nina wasiwasi na waamerika sijui itakuwaje
Tuliza boli hilo, wasiwasi ondoa, hao jamaa wanacheza mpira wa nguvukazi, wanajituma na huwa hawachanganyikiwi, hawana stress, manake kwao huko ni kitu cha kawaida. Wana nguvu~wala Pizza hao, sio watu wa Fufu.
 
Mi leo na Ghana yangu wapooooooole....Presha inapanda inashuka......Hao US mhhhhhhhhhhhhhh

Mkuu leo hii hakuna ninachojua mpaka sasa, nimejaribu kutumia formular ya Sheikh Yahya Hussein imegoma kutoa jibu sahihi kama USA watatumia jina lao la "United States of America". Ila kama watatumia USA basi Ghana anashinda teh teh teh teh!!!!!!
 
Key player of the game is Tim Howard, yee ndiye atakayetoa tabasamu au kilio kwa washabiki wa Ghana na USA!
 
Ni bahati mbaya kwamba jamaa yupo Canada kwenye G-20, vinginevyo leo angezuka hapo~kwani sheshe la wese limeanza kutulia!.
 
The Pilates lady, she had some flexible mooves during the paid program before the soccer program :dance::biggrin1:

Sikujua unafanyaga Pilates na wewe...hebu mwambie hivo mama mchungaji uone kama hutalalia kochi leo....msalimie pia. Mwambie leo chant yangu ni Yes we can....
 
Haya wadau,

Ngoma bado kama lisaa hivi na mnaalikwa kutoa maoni yenu kuhusu huu mtanage.

Karibuni.

_48183901_ghanafan_reuters.jpg

Hili la Waghana liko tofauti na Vuvuzela sijui linaitwa nini kule kwao.
 
Hii mechi sina pressure kabisa akishinda ghana nitafurahi sana, akishinda USA poa tu nako ni home pia (tena pengine zaidi ya Ghana) so sina pressure leo.
 
Back
Top Bottom