Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,101
- 136,757
Mmhhhhhhhh...........Mi nilijua tunawakawaka pamoja na Black Stars.........aaaaaaaaaaargh!!!!!!!!!!
A house divided...Ouuuch!! mimi simo na mchanga wa pwani huo.....
Mmhhhhhhhh...........Mi nilijua tunawakawaka pamoja na Black Stars.........aaaaaaaaaaargh!!!!!!!!!!
Leo nahisi nitakuwa mimi dhidi ya wote humu kwenye gemu ya Yuesiei na Gana....
Mmhhhhhhhh...........Mi nilijua tunawakawaka pamoja na Black Stars.........aaaaaaaaaaargh!!!!!!!!!!
Punguza wasi, nyota zako hamsini na mistari leo hazitashine kwa nyota moja kubwa nyeusi.....
tutofautiane hapa tu laaziz wangu........lakini mengine yote kama kawaida!!!
The Old glory today will shine all across the Indian Ocean all the way to the mighty Atlantic. USA baby....Bill Clinton atakuwa ndani ya nyumba halafu nimesikia nyepese nyepese kuwa kutakuwa na surprise guest pia...tusubirini...I'm pumped up
Nani zaidi?
![]()
![]()
Mi leo na Ghana yangu wapooooooole....Presha inapanda inashuka......Hao US mhhhhhhhhhhhhhh
Mie nipo na mshindi wa mechi hii leo..subiri niangalie!!
Kwa nini achague upande wa washindwa? ...lol...Mimi nilidhani wewe utakuwa upande wangu....kumbe wapi....