World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

kuna bonge la mvua uwanjani.......duh kabla sijamaliza SUAREZ ka-spoil party............
 
ila hawa hata wakipita,hawatamsumbua GHANA...........
 
haya s.korea bye bye....uruguay 1/4 finalist wa kwanza................
 
Leo nahisi nitakuwa mimi dhidi ya wote humu kwenye gemu ya Yuesiei na Gana....
 
sasa lile game tuliokuwa tunasubiri linakuja na i hope litakuwa zuri na zaidi kama hii ya wakorea.

litakuwa zuri si unajua GHANA hawana mbinu wao watakuwa wanatandaza soka tu...hamna ma-strategy ya kujihami kama akina eng/germany......
 
He he, mambo ya "Me against the world"~naamini utapata washirika tu!.

I doubt it..though I will be pleasantly surprised if I get at least one suporter. Mimi hiyo Migana siwezi kuishabikia aisee...hapana kabisa.
 
Uruguay 2 - s.korea 1 ,na kesho wanarudi kwao kama kawa.
Ohoo ghana come on for africa.
 
I doubt it..though I will be pleasantly surprised if I get at least one suporter. Mimi hiyo Migana siwezi kuishabikia aisee...hapana kabisa.

NN am ur surprise!!!

sijipi ugonjwa wa moyo mimi ngoja tu nijitulize kwa watoto wa Obama........
 
NN am ur surprise!!!

sijipi ugonjwa wa moyo mimi ngoja tu nijitulize kwa watoto wa Obama........

Mmhhhhhhhh...........Mi nilijua tunawakawaka pamoja na Black Stars.........aaaaaaaaaaargh!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom