RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,817
- 129,693
Kma namuona Kevin Prince Boateng anavyolitawala dimba ha ha ha.watoto wa Obama leo watakoma, kama tuna msukuma mlevi .
tumeanza sasa......two more boys...............
Kma namuona Kevin Prince Boateng anavyolitawala dimba ha ha ha.watoto wa Obama leo watakoma, kama tuna msukuma mlevi .
hehehe leo ni sikukuu aisee, nalogi auti kuna mzembe anataka kutumia neti lakini GHANA ikishinda hakikisha unanipatia garama zako za wiki nzima ,nitasimamia mimi heeheheh
Walete Walete Waleteeee haoooo. anaitwa nani huyo aliefunga goli vile nimemsahau?
Boateng
yaani napiga picha pale mbele angesimama DROGBA..........................
mbona unaaribu thread mkuu? Lol huyo hayupo tena anawakilisha club yake unachafua kiaina lol.
duh.......nimerekebisha............
duh.......nimerekebisha............