World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

Wapumavu hao ile game against Portugal walikuwa na uwezo wa kushinda
 
48c5d9bfa960aa38ea023d8e8e700d46-getty-98496701bd034_north_korea_v.jpg


Yaya Toure celebrates his goal


a83556f609d9e6d35a6e2ffd7add7acc-getty-98496701bd033_north_korea_v.jpg



6ebd1d6cc658865d9a52d36731506014-getty-98496701bd032_north_korea_v.jpg
 
Pepe alijifanya anafahamu kuweka mtu kiatu. Kabebwa na mdogo wake Max MELO hadi akajikunyata kama mtoto mdogo.

Gilberto alifahamu kuwa jamaa analipa kisasi na kaenda kumpandishia.

Dunga kaiona pia akafahamu hapa kuna RED CARD inakuja na kamtoa harakaharaka......
 
brazil anaweza akampa jamaa bao 3 akampunguzia ivory GD, lakini hii inaitwa ndoto ya afternoon hehehehe
Ivorians wanachezacheza tu kama vile wameshakubali kutolewa..Kwa sisi washabiki kutegemea vinginevyo nadhani ni kujisumbua tu..
 
Ukitaka usipatwe na shinikizo la damu kwenye hizi fainali basi shabikia Brasil. Hawa jamaa utadhani wana sumaku kwenye miguu yao. Mpira unawaendea bila kupenda. Lakini matimu ya Afrika....hivi kweli kuna watu mlikuwa mnategemea haya matimu ya Afrika yafanye maajabu?
 
Back
Top Bottom