Possibility ya kupatikana ushindi wa 9-0 siuoni hata kama shemeji atazima taa..lol
yakifika 7-0 niambie nianze kuangalia lool.
Wapumavu hao ile game against Portugal walikuwa na uwezo wa kushinda
Ivorians wanachezacheza tu kama vile wameshakubali kutolewa..Kwa sisi washabiki kutegemea vinginevyo nadhani ni kujisumbua tu..brazil anaweza akampa jamaa bao 3 akampunguzia ivory GD, lakini hii inaitwa ndoto ya afternoon hehehehe
NDO manake.Jamaa wanakamilisha ratiba tu..............
hivi leo umeamua kulisaliti chama lako NORTH KOREA? heheheehhe sikuwahi wimbo wa taifa ,yule jamaa alilia leo?