Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,101
- 136,757
Haya wapenda kandanda, kipyenga ndo karibu kinapulizwa. Mimi niko na Chile leo
Haya wapenda kandanda, kipyenga ndo karibu kinapulizwa. Mimi niko na Chile leo
Haya bwana hapa miye sina pressure yeyote atakayeshinda poa tu lakini kwa kuwa Spain wametabiriwa kuwa moja ya timu ambazo zinaweza kuutwaa ubingwa basi ningependa kuwaona wanaanza kuonyesha mchezo mzuri sasa na pia washinde leo ili wawemo katika the last 16.
kipa wako kakufungisha mkuu lol.Haya wapenda kandanda, kipyenga ndo karibu kinapulizwa. Mimi niko na Chile leo
Nipo na Spain leo!..hope watashinda!!!
kipa wako kakufungisha mkuu lol.
Nipo na Spain leo!..hope watashinda!!!
Wee mwache tu...sijui hajui yaliyomkuta Andres Escobar kule Bogota....
anataka mkakutane na brazil huyu loool .
Mshukuru kipa kwa kuchemsha.....anatoka langoni namna hiyo anategemea nini....kaniboa sana
ooh!..pole ila bado sana mechi,hivyo Chile wanaweza kurudisha goli!..Kipa kweli aliachia lango kama vile haelewi mana naya mlinda lango!..
yani umesubiri goli la kwanza ndio ujitambulishe unawashangilia ha ha ha .haya kila la kheri mie nipo nipo tu nsubiri kesho sitaki stress za ajabu saa hizi nimebeba za kutosha na timu zangu za africa.
Aaah basi bana mimi ngoja niangalie katuni hapa.....naona hawa Chile wamevimbiwa chalupa