Mkulu kumbe unaitwa Godfrey
ivory coast wanaweza kupita iwapo watashinda kwa tofauti ya goli 5 na kuendelea eg 5-0,6-1,6-0,7-0,7-2 na huku portugal akifungwa kwa tofauti ya bao 5 na kuendelea eg 5-0,6-1,7-0 au ikiwa ivory coast atashinda 8-0 na portugal akafungwa 1-0 au 2-1 ya kwa tofauti hiyo ya bao 1 basi ivory anapita,ila ikiwa ivory kashinda 8-0 halafu portugal kalala 3-2 hapo wataangalia yupo kacheza fair play yani hana kadi nyingi na hii inatokana walipokutana walitoka draw la sivyo wangeangalia nani alimfunga mwenzie walipokutana ktk kesi hiyo baada ya kwanza kuangalia goal difference kisha inafuata head to head,na zaidi ya hapo yani ivory kashinda 8-0 portugal kafungwa 4-3 au 5-4 au 7-6,anapita portugal,kwahiyo ikiwa ivory kashinda 8-0,9-0 halfu portugal kafungwa 3-2,4-3 respectively samahani nimetumia lugha ya kigeni kidogo hapo wanaangalia fair play,je sasa ivory coast wataweza mh tusubiri labda yanaweza kuwa maajabu ya musa,mimi naweza kidogo kuwamini algeria mana wengi tumewasahau ila wanaweza kuushangaza ulimwengu na afrika wakipita mfano leo akimchapa mnyamwezi,kwahiyo ni mambo ya mahesabu kuamua nani atapita group g ivory coast wanatakiwa wafanye kazi kweli huku wakiomba portugal alale nyingi ili waweze kuicheza karata dume vizuri
siku yangu itakuwa njema sana leo kama muingereza atalembewa nje ya mashindano
Kwa forward gani ya Ivory coast?? yaani kushinda zote hizo sioni dalili...Brazil atashinda na kusonga mbele na Portugal Ivory wameshatoka labda wanunue game kinyemela!ivory coast wanaweza kupita iwapo watashinda kwa tofauti ya goli 5 na kuendelea eg 5-0,6-1,6-0,7-0,7-2 na huku portugal akifungwa kwa tofauti ya bao 5 na kuendelea eg 5-0,6-1,7-0 au ikiwa ivory coast atashinda 8-0 na portugal akafungwa 1-0 au 2-1 ya kwa tofauti hiyo ya bao 1 basi ivory anapita,ila ikiwa ivory kashinda 8-0 halafu portugal kalala 3-2 hapo wataangalia yupo kacheza fair play yani hana kadi nyingi na hii inatokana walipokutana walitoka draw la sivyo wangeangalia nani alimfunga mwenzie walipokutana ktk kesi hiyo baada ya kwanza kuangalia goal difference kisha inafuata head to head,na zaidi ya hapo yani ivory kashinda 8-0 portugal kafungwa 4-3 au 5-4 au 7-6,anapita portugal,kwahiyo ikiwa ivory kashinda 8-0,9-0 halfu portugal kafungwa 3-2,4-3 respectively samahani nimetumia lugha ya kigeni kidogo hapo wanaangalia fair play,je sasa ivory coast wataweza mh tusubiri labda yanaweza kuwa maajabu ya musa,mimi naweza kidogo kuwamini algeria mana wengi tumewasahau ila wanaweza kuushangaza ulimwengu na afrika wakipita mfano leo akimchapa mnyamwezi,kwahiyo ni mambo ya mahesabu kuamua nani atapita group g ivory coast wanatakiwa wafanye kazi kweli huku wakiomba portugal alale nyingi ili waweze kuicheza karata dume vizuri
Wacha kijiba cha roho weye..utakufa unatembea ala.
N'tafuta mtu wa ku-bet naye, naona hapa watu iko mineno mingi sana hakuna vitendo.Hahaha...mwambie bana huyo...pressure zitam'maliza bure!
N'tafuta mtu wa ku-bet naye, naona hapa watu iko mineno mingi sana hakuna vitendo.