World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

90 minutes to save your World Cup dream England. Off you go...
 
Miye hufurahia sana kuzisikia nyimbo za Taifa na kuwaona wacheza wakiziimba kwa usongo na mapenzi makubwa ya nchi yao na hata wale wasioimba unawaona kabisa wanaguswa kwa namna moja au nyingine na nyimbo zao za Taifa.

Mkuu,

unatizama gemu ipi weye?..Remote lazima itaongea tu leo...mara USA vs Algeria mara UK vs Slovenia...:biggrin1:
 
Mkuu,

unatizama gemu ipi weye?..Remote lazima itaongea tu leo...mara USA vs Algeria mara UK vs Slovenia...:biggrin1:

Naam lazima itasema mkuu maana asiye mwana leo aeleke jiwe lazima kuna watu watafungasha leo kurudi kwao. Hii ya US na Algeria imenivuta zaidi.
 
Natamani kweli standing leo iwe hiv mwishoni
Group C
Slovenia 3 1 2 0 4 3 1 5
Algeria 3 1 1 1 2 2 0 4
England 3 0 3 0 2 2 0 3
USA 3 0 2 1 4 5 -1 2
hahahahahahaha...very possible!
 
Umeme amna jamaa wamezima kwa style zilezile za kiafrika !!!
 
_48154388_teamwarmup_reuters.jpg
 
kama kawaida ya wakoloni wetu.........
KUKOSA KOSA
 
Bill Clinton is in the House. Alikuwa bongo few days ago.
 
Rooney anang'ang'ana kufunga wakati kuna mwenzake alikuwa kwene position nzuri zaidi.
 
The match between US and Algeria is more entertaining. Defoe anaipatia UK goli la kwanza.
 
Back
Top Bottom