World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

Wewe usiniambie una matumaini na England,hao wanakamilisha ratiba/sheria za FIFA kucheza game ya kesho warudi kwao..

matumaini nao sina lakini mara "jabulani" linafanya "ujabulani" wake. hawa waingereza nawachukia kuliko CCM aisee
 
Greece are going home as things stand. Surely a more attacking approach from Rehhagel is needed now?
 
Ngoja nikavite kopo la laga nikapumzike kule chini ya kivuli cha mti kwenye kiti changu cha uvivu kwa vile TV haionionyeshi kitu chochote cha maana.
 
.......Mimi leo nipo upande wa Argentina tu. Hii hichi kipindi cha pili lazima watingishe nyavu.
 
Ngoja nikavite kopo la laga nikapumzike kule chini ya kivuli cha mti kwenye kiti changu cha uvivu kwa vile TV haionionyeshi kitu chochote cha maana.

mkuu usivunjike moyo , naamini GHANA atatuvusha.
 
dah!wakuu mi naomba nilale tu...........
maanake sasa ni bora nikamkumbatia waifu kuliko kuzisoma updates za nigeria..........!

GO SOUTH KOREA GO!..........
VIVA J.S PARK.............!
 
Am off..............Ngoja nijiondokee zangu tu maana mhhhhhhhhhhhhhh.Inakera kweli bin kuskitisha
 
matumaini nao sina lakini mara "jabulani" linafanya "ujabulani" wake. hawa waingereza nawachukia kuliko CCM aisee

Basi hiyo chuki yako kwa England squad ni kali aisee mana si ya kitoto,ha ha...
Bwana eeh umeona Naigeria walivyotolewa?!..pole sana,tafuta timu nyingine nikupe hongera ya ushindi na wewe siku nyingine..huh
 
Am off..............Ngoja nijiondokee zangu tu maana mhhhhhhhhhhhhhh.Inakera kweli bin kuskitisha

homeB na wewe tangia WC zimeanza umejitakia pressure tu,uzalendo wako kwa African teams nakupa big up japo wametuangusha sana..na hivyo tena bai bai kwa Naigeria..Pole uwe jasiri!
 
sasa kama hile wakuu mtu anasubiri kupigwa picha wakati watu wanamuona live kwenye tv sijui anafikiri mechi ya mchangani hii.nafasi ya watu kalemba mpaka watu wameokoa mbele ya goli.
 
Basi hiyo chuki yako kwa England squad ni kali aisee mana si ya kitoto,ha ha...
Bwana eeh umeona Naigeria walivyotolewa?!..pole sana,tafuta timu nyingine nikupe hongera ya ushindi na wewe siku nyingine..huh

usisahau GHANA bado yupo kwenye track, na ALGERIA anaweza akamtema OBAMA , Go AFRICA GOOO!
 
huyu obafemi martins huwa anapigwa bench bila sababu.
Mi ndo maana nalia na makocha wa kizungu bana..........fikiria anamuweka benchi Martins mechi zote na kumuingiza dakika 20 za mwisho....................aaaaaaaaaaaaaaaaargh.........................kwa heri
 
Back
Top Bottom