Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
NB: Hebu nipeni data ktk historia ya WC ishawahi kutokea mwenyeji kuondolewa mapema kiasi hiki?
haijawahi kutokea mkuu ndio mara kwanza hii host kutolewa kwenye hatua hii.
NB: Hebu nipeni data ktk historia ya WC ishawahi kutokea mwenyeji kuondolewa mapema kiasi hiki?
haya sasa nigeria kama Argentina itawasaidia basi nanyie mjue kujisaidia .
goaaaaaaaaaaaaaaaaaaaal nigeria washapata la kwanza hapa .dakika ya 11.
argentina akishinda na nigeria akishinda wote wana pita hata kwa goli moja.south korea ndio yuko sawa kwa points na nigeria.situation ikoje?nigeria inatakiwa ishinde kwa goli ngapi na greece afungwe ngapi............
argentina akishinda na nigeria akishinda wote wana pita hata kwa goli moja.south korea ndio yuko sawa kwa points na nigeria.[/QUOTduuh nimesahau kumbe Nigeria ana 0 points ,greece na korea wana 3 points .sasa hapa kuna issue ya goal diffrence na Argentina lazima amfunge Greece hili nigeria wawe na nafasi kwa goal difference.
Nigeria 1 N.Korea 0......Kalu Uche