BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,494
- 4,076
Hope Argentina watashinda..nawafeel!
huyu mnigeria angelikuwa serious mechi za mwanzo kama hii ya leo am sure tungekuwa tunaongea vyengine leo . lakini aaaargh waafrika bana
tatizo hata wakishinda timu za afrika zinatuangusha.wanaboa kinoma.Hope Argentina watashinda..nawafeel!
Bora iwe last pressure watoke tu ili ushangilie timu zingine na wewe,ha ha..
Bora iwe last pressure watoke tu ili ushangilie timu zingine na wewe,ha ha..
hebu jiagizie serengeti hapo mi nitapita kuklia bili:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:he he he .nitasahau machungu yote ya timu za kiafrika, kama muingereza atafungishwa virago kesho,
tatizo hata wakishinda timu za afrika zinatuangusha.wanaboa kinoma.
he he he .nitasahau machungu yote ya timu za kiafrika, kama muingereza atafungishwa virago kesho,
yule mshabiki wa North korea (preta) ,leo kapotelea wapi? au kagoma kuingia JF baada ya kubugizwa 7 na mreno?
Why KANU!? We Africans!!
Hivi Prof.AW bado tu una matumaini na timu za Afrika? mie nilikata tamaa muda naona wanasindikiza game+burudani tu!..Tatizo Greece nao wanabana kweli,lol sijui Argentina watawin!tuone 2nd half itakuwaje..