Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,266
Duh!!!...Malouda kaingia...nomaaaa!
Binafsi nawapenda Sauzi kutokana na spirit yao, kimsingi hawana mpira wa kutisha wa talents lakini the energy behind them and their home fans is real exceptional, wakitolewa poa though i would love to see them going through. Hawa matozi wengine wa Kiafrika, the likes of CDVR na Nigeria to hell wth them!...cha msingi wawapige nyingi hao wafaransa.
jamani mbona kama namsikia mtangazaji anasema south afrika itaingia ikiwa mexico itafungwa na yeye ikishinda 4-0?