World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

Binafsi nawapenda Sauzi kutokana na spirit yao, kimsingi hawana mpira wa kutisha wa talents lakini the energy behind them and their home fans is real exceptional, wakitolewa poa though i would love to see them going through. Hawa matozi wengine wa Kiafrika, the likes of CDVR na Nigeria to hell wth them!...cha msingi wawapige nyingi hao wafaransa.

Ni Kweli kabisa SA wana wanajituma, nafikiri hata cameroon pamoja na kutolewa naona kama walijituma ila mambo hayakuwa mazuri kwao, lakini hizi timu nyingine, utafikiri wamelazimishwa kwenda kucheza.
 

78fda07e6ce043587dbd903b8de9c3d8-getty-98586046jd071_france_v_sout.jpg




4d521c42ca46dbe348cc0969eab62f0d-getty-98586046jd074_france_v_sout.jpg



ba38a9be4e09dd89ae8af791b015156d-getty-98586046jd073_france_v_sout.jpg



 
hawa wafaransa kulinda usalama mie naona bora kila mtu aondoke kivyake south africa la sivyo tutakuja kusikia mengi kwenye media.
 
jamani mbona kama namsikia mtangazaji anasema south afrika itaingia ikiwa mexico itafungwa na yeye ikishinda 4-0?

ili south africa aendelee anahitaji goal difference ya 4-0 in his favour katika hizi mechi mbili,ideal situation ni mexico afungwe 2-0 na south africa ashinde 2-0,unaweza kuona hapo gd=4 in favour to SA......au mexico wafungwe 1-0 na SA washinde 3-0,natumaini umenielewa.
 
Naona South Africa wameanza wazimu wa Ghana wa kupiga mishuti bila sababu wakati kuna mtu kulia alikuwa ana overlap vizuri tu.
 
Dah...............Leo nimemiss vingi............Majukumu haya bana..aaaaaaaaaaaaaaaargh
 
Jamani mmeokodolea luninga...tupeni raha ambao bado tunakomaa maofisini basi...acheni kubana bwana!
 
Back
Top Bottom