Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,266
Jamani mie bdao niko ofisini...mniambie zimebaki dakika ngapi!
Bado dakika kumi, bao ni 2-1 RSA wako juu.
Jamani mie bdao niko ofisini...mniambie zimebaki dakika ngapi!
Jamani mmeokodolea luninga...tupeni raha ambao bado tunakomaa maofisini basi...acheni kubana bwana!
Jamani mmeokodolea luninga...tupeni raha ambao bado tunakomaa maofisini basi...acheni kubana bwana!
wavuke waende wapi wakati goal difference mexico kawazidi.ni uzembe tu mkuu walikuwa na uwezo wa kufunga goli nyingi hawa sema walianza ubitozi/ubinafsi.wANAJIMU WA anga! Matokeo yakibakia hivi hawa SA hawajavuka?
wavuke waende wapi wakati goal difference mexico kawazidi.ni uzembe tu mkuu walikuwa na uwezo wa kufunga goli nyingi hawa sema walianza ubitozi/ubinafsi.
uruguay 1 - mexico 0 . mpira umekwisha!
sijui hawakuambiwa half time kwamba wakiongeza goli mbili wamengepita duuh kazi kweli kweli kushangalia timu zetu za africa.