Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
jamaa wamepoteza nafasi nzuri sana ya kusonga mbele .
Heri Ghana ifungwe ili timu bora ziendelee kucheza Jabulani.
Africa lazima tukubali kuwa hatukujiandaa vya kutosha kwenye hii WC.
Halafu watu wanafikiri Ghana itaifunga German....
and then useme kuna njama za kuitoa ghana zinazofanywa na ujerumani.wangeshinda leo wamepita.wamepewa penati,mtu mmoja katolewa bado hawawezi kushinda.nimenawa mikono sishangilii tena timu ya afrika.....headache,bp.......[/QUOTE]
Ghana wasen@#$@$@$@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@
mamamaeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee zao
Haa ha unanikumbusha enzi za Lunyamila, make wakati ule utasikia tu Lunyamila anao anao anakata mbuga~ha ha ha.Dah.......
Halafu hawa makocha wetu wa kizungu nina mashaka nao sana,wanakuwa kaa wanatufanyia hujuma vile.........Inakuwaje anawaeka benchi akina Sulley Ali Muntari,Mathew Amoah na mkongwe Stephen Appiah na anawaanzisha watoto akina Andre Aew na Kwadwo Asamoah ambao wankimbiakimbia tu uwanjani na kupoteza mipira kwa 'anao anao' za hovyo hovyo............Kwa upangaji huu wa timu wa kocha wa Ghana Germany watatuchapa mengi aisee
Wala hujakosea. Hawa ni vijana wadogo na wanacheza kama umri wao. Kocha pia anachukua lawama hapa.
Heri Ghana ifungwe ili timu bora ziendelee kucheza Jabulani.
Africa lazima tukubali kuwa hatukujiandaa vya kutosha kwenye hii WC.
Halafu watu wanafikiri Ghana itaifunga German....
Achana na kushabikia timu za Africa, utakufa siku si zako~yaani ovyo kabisa.Sijawahi kuwa na presha ya mpira kama ya leo ya Ghana tena zaidi ya timu yangu ya Taifa,yani uchungu kweli wameshindwa kuongeza hata kamoja..Hivi nyie wanaJF wenzangu hali ilikuwaje wakati mnaangalia? mana nimetukana,nimetoa midadi ya kila aina,nimesimama mara kukaa lakini wapi no goal!..
Kameruni wanisamehe,nitachukulia mechi yao kama ya kirafiki..sitaki BP na Shell kila dakika ya game!
Mkuu lini waafrika tulijiandaa vya kutosha kwenye wc kama siyo kuwa wasindikizaji tu?Wagiriki juzi waliitengeneza nafasi kama hii na wakaitumia vizuri lakini siye mweeeeh
Kuna WC za nyuma, timu kama Nigeria, Senegal na Cameroon walijitahidi sana hadi wakavuka ligi na kuondolewa huko juu. Kumbuka Cameroon mwaka 1990, walienda juu sana na huku wakiifunga Argentina mechi yao ya kwanza. Ila hii WC, kumbe heri hata Tanzania tungelicheza. Mie niliishiwa nguvu kumuona kijana wa Kighana akikimbia na bendera uwanja mzima utafikiri ndiyo wamevuka tayari ligi. Hivi vitoto ni vitoto kweli na kibaya zaidi, havina kiongozi ndani ambaye anaweza kuwahamasisha na kuwafokea.
Kila mtu alikuwa na hamu ya kufunga goli ili ajulikane na sasa ndiyo kwanza wamejitia kitanzi. Watajulikana karibu wote ni MABINAFSI wakubwa na hawafahamu team work. Watashangaa mwenzao Ayew ndiyo anakuja julikana kama mchezaji wa kuchukua kwa action yake ambayo badala ya kupiga golini, katoa pasi. Haya mashuti ya mbali, na mpira unapita mita zaidi ya nne nje, ni maajabu.
....[/B]
Fikria anawaweka benchi John Mensah,Suley Muntari,Mathew Amoah na Stephen Appiah...........Si hujuma hizi jamani.............aaaaaaaaaaaaaaaaargh
Achana na kushabikia timu za Africa, utakufa siku si zako~yaani ovyo kabisa.
Kuna WC za nyuma, timu kama Nigeria, Senegal na Cameroon walijitahidi sana hadi wakavuka ligi na kuondolewa huko juu. Kumbuka Cameroon mwaka 1990, walienda juu sana na huku wakiifunga Argentina mechi yao ya kwanza. Ila hii WC, kumbe heri hata Tanzania tungelicheza. Mie niliishiwa nguvu kumuona kijana wa Kighana akikimbia na bendera uwanja mzima utafikiri ndiyo wamevuka tayari ligi. Hivi vitoto ni vitoto kweli na kibaya zaidi, havina kiongozi ndani ambaye anaweza kuwahamasisha na kuwafokea.
Kila mtu alikuwa na hamu ya kufunga goli ili ajulikane na sasa ndiyo kwanza wamejitia kitanzi. Watajulikana karibu wote ni MABINAFSI wakubwa na hawafahamu team work. Watashangaa mwenzao Ayew ndiyo anakuja julikana kama mchezaji wa kuchukua kwa action yake ambayo badala ya kupiga golini, katoa pasi. Haya mashuti ya mbali, na mpira unapita mita zaidi ya nne nje, ni maajabu.
Mbebabox, naona una mambo ya KIJALUBA sana. Ya jana yaliisha ati......