Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
some1 tell me please.....kwanini ghana wanashuti kutoka 25-30yards away???
ndio nashangaa hapa.wako wasteful sasa hivi jamaa wataongeza na watakuja kujuta.
some1 tell me please.....kwanini ghana wanashuti kutoka 25-30yards away???
Mwenyewe nimejikuta nakuwa mpoooole.... Hata sielewielewiduh , kweli alotuloga waafrika ashakufa! hii mishuti tunayolembea bila mpangilio sijui ina mantiki gani aisee? finger xed lakini presha inapanda presha inashuka .gademu!
Anything can happen in Footbal
situation kama hizi ndio unahitaji vichwa kama ESSIEN,MUNTARI,APPIAH,MENSAH.......simply bcoz they've been into these situations b4..... sio hawa wengine too many school boy errors.....
Mwenyewe nimejikuta nakuwa mpoooole.... Hata sielewielewi
Heri Ghana ifungwe ili timu bora ziendelee kucheza Jabulani.
Africa lazima tukubali kuwa hatukujiandaa vya kutosha kwenye hii WC.
Halafu watu wanafikiri Ghana itaifunga German....