RayB
JF-Expert Member
- Nov 27, 2009
- 2,751
- 201
JABULANI hiloo
Timu pekee ya Afrika ninayoishabikia, they need to step up na kuchukua advantage ya kuwa na mchezaji mmoja zaidi.
Linachagua makipa?JABULANI hiloo
Za Europe unazoona ni KALI SANA mpaka sasa ni zipi? Msiishangae Afrika pekeeYaani hawa ghana leo wangefungwa mengi sana, hivi hizi timu za africa zina nini?? wanazidiwa na watu kumi
Linachagua makipa?
Yaani hawa ghana leo wangefungwa mengi sana, hivi hizi timu za africa zina nini?? wanazidiwa na watu kumi
Yaani hawa ghana leo wangefungwa mengi sana, hivi hizi timu za africa zina nini?? wanazidiwa na watu kumi
JABULANI victims:kipa wa england,japan,ghana...lol
Si timu za Afrika tu babu....Vipi kuhusu England,Spain,US,German,France na Italy hujawaona?,mbona nao washachemka sana tu so far.................
Muda bado babu..Subiri kipindi cha pili...Kawaida akishatolewa mtu kwa red timu yenye wachezaji wengi huchanganyikiwa kidogo maana timu pungufu hubadili mfumo so inakuwa vigumu kujua umkabe yupi umuache yupi....Socceroos watachoka 2nd half tutawachapa
NEWS ALERT:Anelka sent home for insulting Raymond Domenech....