World Bank Report: Transforming Agriculture | Realizing the Potential of Agriculture for Inclusive Growth and Poverty Reduction

Mimi sipo kwenye vita baridi especially ktk biashara au shughuli zetu za kiuchumi iwe kilimo au biashara na viwanda
Mfano issue ya mkulima au mfugaji wa ngombe wa maziwa, kwanza dam hatuna kiwanda cha maziwa fresh zaidi ya maziwa ya unga ambayo yanawekwa kwenye packet kama maziwa ya maji, cha pili wenye viwanda wanaweza kuwa na mifugo yao na ku complement kutoka kwa wazalishaji wengine na kutoa bidhaa zingine kama samli, jibini n.k.
Na kuhusiana na maafisa ugani, ikumbukwe kwanza wanaweza kuwa wachache, lakini hizi ni biashara binafsi ya mtu si ya serekali, hivyo ili upate huduma yao lazima umlipe, ili aje sehemu yako aone changamoto zako au unataka serikali ikulipie??
Kwenye hilo hilo la ufagaji wa ngombe wa maziwa kuna suala la malisho, je wakati wa masika unahifadhi malisho ya kutumia wakati wa kiangazi ili ku hakikisha uzalishaji unaendelea vizuri, lingine wengi wa wazalishaji ni retired people na umri umekwenda hivyo kushindwa kutekeleza majukumu mengine kama kutafuta malisho ya kutosha hivyo wanabakisha mifugo kama hobby na sio shughuli ya kiuchumi, sasa sijui na hapo serikali iingilie
Wala sioni kipi unang'ang'ania hapa mkuu august.
Ni nani aliyekataa usiwe na kiwanda?

Hivi nikuulize kitu hapa. Hivi hao wakulima wadogo wadogo wanaokosa hizo huduma mhimu, hawapo kwenye hiyo sekta unayoiita 'binafsi'?
Kwani ni lazima wawe wafugaji au wakulima wakubwa ndio wajulikane kuwa wapo sekta binafsi?
 
December 6, 2019
Dodoma, Tanzania

Umasikini Umepungua Vijijini -Ripoti ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu

Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Tanzania atoa ripoti ya tathmini kuhusu hali ya umasikini nchini Tanzania. Ripoti hiyo imetayarishwa kwa pamoja kati ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu na Benki ya Dunia.

Leo umefanyika uzinduzi wa ripoti ya tathmini ya hali ya umaskini Tanzania bara ambapo imeelezwa kuwa Tanzania imefanikiwa kupunguza kwa kiasi kikubwa tatizo la umaskini kutoka asilimia 28.2 mwaka 2012 hadi kufikia asilimia 26.4 mwaka 2018. Mkurugenzi Mkuu Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Dk. Albina Chuwa amesema matokeo ya kupungua kwa umaskini yametokana na ongezeko la ubora wa elimu, huduma za kijamii, umiliki wa mali, ukuaji wa kilimo na ukuaji wa viwanda.
Source: Millard Ayo
 






Azam marine, Fastjet n.k watu binafsi wana uwezo hata kuwekeza ktk reli lakini mnadanganywa na awamu ya tano.

Pia makampuni kama MOTL na Bahkresa Group wanaweza kuchangia rolling stock yaani kununua mabehewa kwa ajili ya usafirishaji mizigo reli ya mkoloni huku kampuni hizo ikilipa tozo kutumia miundo mbinu ya reli ya mkoloni iliyokarabatiwa.

Hii ni kuipunguzia mzigo serikali kununua mabehewa hata vichwa. Serikali kazi yake itakuwa kutunza reli ya mkoloni iliyokarabatiwa kwa gharama nafuu kuliko ujenzi wa SGR reli mpya.

Nchi nyingi dunia zinaendesha sekta ya reli kwa mtindo wa makampuni kushirikiana na serikali.


December 13, 2019
Kemondo Bay, Tanzania

Serikali Kuanza Kuruhusu Makampuni kununua Mabehewa na Vichwa vya treni

Hatimaye serikali kupitia Waziri wa Uchukuzi Mh. Isaack Kamwelwe imetoa kauli kuwa itaruhusu kampuni binafsi kununua mabehewa / rolling stock na vichwa vya treni / Locomotives ili kuchochea ukuajia wa sekta ya reli nchini.

Serikali itajikita ktk kutengeneza na kuimarisha miundo mbinu ya reli, madaraja, signals, makalavati huku sekta binafsi wakitozwa ushuru mabehewa yao kutumia njia na mifumo ya reli.


Source: Millard Ayo
 
IS IT THE FIRST EVER "PROJECT" TO BE LAUNCHED IN TANZANIA? There were similar like HIPC, MKUKUTA, MKURABITA and name others. Where did they take us?

JUST MY RESERVATIONS THOUGH!
Kilimo kwanza
 
Back
Top Bottom