Women Who can't handle their drinks

Women Who can't handle their drinks

Pombe si chai ndo maana mi huwa napenda Smirnoff ziwe pembeni ya kitanda
zikinizidi nalala, au kama ni bar basi mupenzi awe pembeni
atajua cha kufanya kama atanibeba kama ataniburuza hadi nyumbani poa tu
ukilewa watu wanachangamkia fursa oooohoooo
 
umeongea point heri yangu mimi situmiii kabisaaaa pombe kwanza huwaga sioni faida ya pombe chungu mnooo acha nibaki na ushamba wangu
pombe inaongeza majanga ya kujitakia
1 kubakwa
2 inapunguza heshima ya mwanamke
3 inaondoa opportunity ya kupata maendeleo kwa wakati muafaka
and so on
Acha hizo wewe kunywa pombe usahau shida...imeandikwa!!!
 
du Evelyn Salt...!!
attachment.php
Wacha weeee, afu jamaa mnafiki anajifanya kama hana time
utakuta hapo kishamwagia na vijana
 
Honestly Karucee you've spoken very wisely, you even sound like a very shrewed retired hooker granny(Joke!)! Congrants!
I love a woman who can drink with Me but I hate it when I have to mop her puke off my room's floor or carry her the whole way home! I can stand it once or twice but it becomes so bothersome when it happens frequently!
I hate it when I have to worry for hours when shes gone out with her friends because Its hard to predict what will happen next when shes drank na wahuni waliojaa mjini humu, huchelewi kumwokota kwenye mtaro somewhere huku washabutua marinda!
MWANAMKE kama unaona huwezi kuhimili unywaji kwa muda mrefu au huziwezi pombe, nunua unywee home, kataa offer zitakusababishia matatizo ambayo hautasahau!

A retired what? Hell am coming for your neck, lol.
 
Don't rely on your friends to take care of you. Have enough sense to know when you have had enough. Do not entertain offers to buy you more beers if you cannot drink anymore.
No one will consider you a heroine for drinking the most beers. Wengine kina naniliu wanasubiri uzime wakunanilii na video juu. Uso wako utauweka wapi mjini hapa na Whatsapp hii?

Beer hainaga formula. Mie mama lao Karucee sometimes just 200ml of whisky makes me speak my mother tongue. Other times I drink for more than 15 hours straight. Wanafunga bar wananichia drinks zangu pembeni. Chezea staff wa bar wewe? You can never predict how alcohol will drive you. Sio supu hii mama weeee.

Being in a drunken state means that you are more vulnerable. You could easily be overpowered and get raped. They could do your ass unajua? Utalia na nani ushafanyiwa kamchezo kabaya? No laughing please am serious.

Kindly be careful.

Am out.
Mndengereko, Ntuzu, utafiti, EMT, Tized, OLESAIDIMU Eiyer, kobun Mtambuzi, SHIEKA, Desert Storm, muwahabarishe dada zenu.
Evelyn Salt, miss chagga, Honey Faith, Angelicious miss neddy Zinduna..... na wengine, please drink responsibly.
Karucee nilishawahi kulizungumzia jambo hili wakati fulani, waweza kupitia link hii hapa:

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/215246-kupombeka-na-aibu-ya-mwanamke.html
 
Last edited by a moderator:
Karucee nilishawahi kulizungumzia jambo hili wakati fulani, waweza kupitia link hii hapa:

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/215246-kupombeka-na-aibu-ya-mwanamke.html


Kwa hiyo Mzee mwenzangu Mtambuzi, ..tuwabane TBL na SBL watupiemo ka tangazo kama kale ka-warning ka sigara kwamba....."Beer is not good for dada/mama zetu"??

I need some more facts kwani nimekuwa nalichukulia kilaini laini hili suala...

Hata hivyo, huu ushuhuda wa wenye mji unalifanya liwe jambo nyeti kuanzia sasa!!
 
Last edited by a moderator:
Karucee,

Pia tupia ushauri wako kuhusu mambo ya baadhi ya pombe kumkimbiza mwanamke (over stimulated) hadi atamani kukamata njemba kwa nguvu!
 
Last edited by a moderator:
Help me with one thing mupenzi Karucee...

Hii ni kwa wanawake tu au kuna wanaume pia naoa wakionja kilaji network inatokomea?

Nahitaji msaada wa wenye nchi...
Asprin, Teamo, The Boss, gfsonwin, Fixed Point, Kaunga...

Na wanaume pia wapo my kaka. And they are very dangerous.

Ugomvi, kushika kila kalio linalopita, kuongea pumba...... Am telling you its a nightmare. Kidogo kidogo am withdrawing from the bars as a move towards quitting my Forever Faithful.

Two weeks ago, a guy I was friends with way back then was in town and I was in town too plaiting my hair. We met later for drinks and stories pale Cataluna. After some time we moved to Samaki Samaki Mcity. It was a beautiful night. Tunakumbushana memories.... we had both lost a very dear friend and we remembered her with fond memories. Sasa bwana wakati wa kuondoka ile card hana. Walipomuitisha he fished out a gun from the glove compartment.

I was lost for words. I sat there glued to my seat. He came and dragged my ass from the car akaniambia twende. By this time tulikuwa tumezungukwa na very many security guards. It was a lose lose situation. I could see that but he couldn't. Nilichokifanya ni kurudi chini and I spoke very calmly to him. Nikawapigia simu best zangu wa Sinza wakaja because aliniachia mkono but no way ningemuacha pekee yake.

To cut the story short I came back safely to my family. The issue was resolved but na hela ilimtoka.

So yes, na wanaume wapo usiombe kukutana nao.
 
Karucee,

Pia tupia ushauri wako kuhusu mambo ya baadhi ya pombe kumkimbiza mwanamke (over stimulated) hadi atamani kukamata njemba kwa nguvu!

Babu hii nimeiona sana pia. Mwanamke anahangaika meza hadi meza. She may buy you a drink, or even two meza nzima halafu anaaza kushika shika wanaume.
 
Wanaume ndio hatari kabisaaa...kuna siku tulienda zbar kwenye mapumziko, tulikuwa watu sita..men alone! Jamaa wawili walikuwa wanakunywa balaa. Mwenyeji wetu akatuonya kutowaacha pekeyao maana wakizima tu jamaa lazima wawafumue marinda...

Wazanzibari walevi asilimia kubwa wamefumuliwa marinda...siku hizi nasikia hadi huku uko huo mchezo!
 
When Ichoose to drink home I prepare some hors d'oeuvre, chill some beers , Freeze some rocks if am taking whisky or gin, 'roll some weed' and entertain myself with my choice of music and have a private session of karaoke. I could have some buddies over and well have a great time.
Commendable Note there!
The highlighted potion, Intrigues as Well.
Didn't know you are this Hardcore.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom