Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,352
- 7,662
Hatuwezi kuikomboa Tanzania kwa kuwategemea vijana wanaowaza POMBE na NGONO.
chupa ndoogo inadondosha kilo 50 mpaka 150!
Goma limeshazima
Fedheha hii sasa, dogo anashuhudia kila kitu
Kwisha habari yake
Mdondo huo
Kakesha hadi asubuhi inamkutia baa, halafu bado hajitambui - sidhani kama alipona kwenye makundi
Duuuuuuuu!!!!!!!!!!
Huyu mama ameamua kuchojoa nguo na kukojoa hapo hapo huku mtoto anashuhudia.
Ama kweli ulevi nomaaaaaa
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Au wengine ni vicheko vya kinshakupe baa nzima utadhania wako wao tu!
Kichwa cha panzi halafu anapiga Castle Lager!!?
We nae tuache tupumue. Maneenah.