Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,754
Mji huu ulivyo mshenzi lazima wampe BJ!
hahahahahaha afu wewe
Mji huu ulivyo mshenzi lazima wampe BJ!
umeongea point heri yangu mimi situmiii kabisaaaa pombe kwanza huwaga sioni faida ya pombe chungu mnooo acha nibaki na ushamba wangu
pombe inaongeza majanga ya kujitakia
1 kubakwa
2 inapunguza heshima ya mwanamke
3 inaondoa opportunity ya kupata maendeleo kwa wakati muafaka
and so on
Ya kweli hayo binti?
Kama pombe ingeongeza speed ya kubakwa basi yangekuwa majanga!
chupa ndoogo inadondosha kilo 50 mpaka 150!
hasa mumewe anapokua yuko nje ya nchi..
Yaani ukimuona hajalewa ni mama mwenye heshima tena ni mtu mzima hapaswi kabisa kufanya anayofanya. Huu uzi walengwa wasichukulie kama porojo ni aibu sana hasa unapoona mtu unaefahamiana nae na pengine mnaheshimiana anafanya mambo ya aibu. Inapunguza thamani ya mtu umuonapo kalewa huku akifanya vituko vya aibu.Si bure, analake jambo
Yaani ukimuona hajalewa ni mama mwenye heshima tena ni mtu mzima hapaswi kabisa kufanya anayofanya. Huu uzi walengwa wasichukulie kama porojo ni aibu sana hasa unapoona mtu unaefahamiana nae na pengine mnaheshimiana anafanya mambo ya aibu. Inapunguza thamani ya mtu umuonapo kalewa huku akifanya vituko vya aibu.
.. miss neddy tubaki na ushamba wetu tu, i dont fancy a "lady who sips"...
Ujumbe mzuri dada yng Karucee