Teh teh teeeeeeh. I wonder if there is anything worse than a woman who cannot handle her drink. Juzi kati hapa nimetoka zangu out kula ujana.
Basi nikasema ngoja nisogee zangu home manake mda umeenda but first ngoja niende ladies. Ile naingia nikakuta mdada yupo slopped kwenye corner she couldn't even pull her jeans on. Hell she couldn't even pull on her panties let alone stand. Akaniambia shosti naomba nisaidie kuvaa. Nikaona hii ya leo kali. Basi I got over the nasty act akanijambia weeee nikamsindikiza nikaacha ameagiza maji nikasepa zangu mitaa ya home.
Siku mbili kabla kuna mdada nilikutana nae alikuwa amekuja harusini mtaani akitokea Tanga. We just clicked like that and drunk our asses off tukiwa tumekaa kaunta Good Hope Bar. Baada ya kuagiza bierre kuna mdada akaja kuniambia yule dada wa Tanga yuko pale twende ukamsalimie anakuita. Wow. It was a table full of women and two guys. Oh lalaaaa. Hizi aibu zangu hapa dawa kujilipua. It tuned out pretty well actually we had fun.
Ila tu issue ni kwamba dada yake bi shosti aliponiomba nimsindikize toilet, akaanguka face first on the ground with her big ass wearing a thong. A woman her age wearing a thong? Nikakaa nimeshangaa. I didnt know how to handle that. I think the night had been jinxed.....
So I came up with this thread:
Lady if you cannot handle your drink quit or drink at home. I always say beer at home doesn't taste good but I am not you. I know when am tipsy and I know when to drag my silly ass home.
Drinking at home can be pretty fun. When I choose to drink home I prepare some hors d'oeuvre, chill some beers , Freeze some rocks if am taking whisky or gin, roll some weed and entertain myself with my choice of music and have a private session of karaoke. I could have some buddies over and well have a great time.
I have been drinking for more than a decade. I have seen women get laid just like that. I have seen women fall flat in the parking lot. I have seen women inject drugs into their veins..... A night of drinking with no regards to your safety can be very dangerous. You could lose your life just like that, believe you me.
Don't rely on your friends to take care of you. Have enough sense to know when you have had enough. Do not entertain offers to buy you more beers if you cannot drink anymore.
No one will consider you a heroine for drinking the most beers. Wengine kina naniliu wanasubiri uzime wakunanilii na video juu. Uso wako utauweka wapi mjini hapa na Whatsapp hii?
Beer hainaga formula. Mie mama lao Karucee sometimes just 200ml of whisky makes me speak my mother tongue. Other times I drink for more than 15 hours straight. Wanafunga bar wananichia drinks zangu pembeni. Chezea staff wa bar wewe? You can never predict how alcohol will drive you. Sio supu hii mama weeee.
Being in a drunken state means that you are more vulnerable. You could easily be overpowered and get raped. They could do your ass unajua? Utalia na nani ushafanyiwa kamchezo kabaya? No laughing please am serious.
Kindly be careful.
Am out.
Mndengereko,
Ntuzu,
utafiti,
EMT,
Tized,
OLESAIDIMU Eiyer,
kobun Mtambuzi,
SHIEKA,
Desert Storm, muwahabarishe dada zenu.
Evelyn Salt,
miss chagga,
Honey Faith,
Angelicious miss neddy Zinduna..... na wengine, please drink responsibly.