Pdidy JF-Expert Member Nov 22, 2007 50,969 22,163 Mar 13, 2024 #1 Siku ya wanaume.lini Jamani navona ya wanawake tu mnasherekeaaaa Mkumbuke fathers day sio ya wanaume n ya wababa.....kama baba hioo sikuyakooo Muanze kudai siku zeenu wanaume
Siku ya wanaume.lini Jamani navona ya wanawake tu mnasherekeaaaa Mkumbuke fathers day sio ya wanaume n ya wababa.....kama baba hioo sikuyakooo Muanze kudai siku zeenu wanaume
Mshana Jr Platinum Member Aug 19, 2012 269,640 697,994 Mar 13, 2024 #3 Pdidy said: Siku ya wanaume.lini Jamani navona ya wanawake tu mnasherekeaaaa Mkumbuke fathers day sio ya wanaume n ya wababa.....kama baba hioo sikuyakooo Muanze kudai siku zeenu wanaume Click to expand... Mpwaaa we are everything
Pdidy said: Siku ya wanaume.lini Jamani navona ya wanawake tu mnasherekeaaaa Mkumbuke fathers day sio ya wanaume n ya wababa.....kama baba hioo sikuyakooo Muanze kudai siku zeenu wanaume Click to expand... Mpwaaa we are everything
Joseverest JF-Expert Member Sep 25, 2013 51,993 69,391 Mar 13, 2024 #4 Wanaodai siku ya mwanaume duniani ni wapuuzi.... Mapambano kwa mwanaume ni kila siku na mafanikio yake hayawezi kusherehekewa kwa siku moja
Wanaodai siku ya mwanaume duniani ni wapuuzi.... Mapambano kwa mwanaume ni kila siku na mafanikio yake hayawezi kusherehekewa kwa siku moja
Pdidy JF-Expert Member Nov 22, 2007 50,969 22,163 Mar 13, 2024 Thread starter #5 Joseverest said: Wanaodai siku ya mwanaume duniani ni wapuuzi.... Mapambano kwa mwanaume ni kila siku na mafanikio yake hayawezi kusherehekewa kwa siku moja Click to expand... Haswaampwaa
Joseverest said: Wanaodai siku ya mwanaume duniani ni wapuuzi.... Mapambano kwa mwanaume ni kila siku na mafanikio yake hayawezi kusherehekewa kwa siku moja Click to expand... Haswaampwaa
T A J I R I JF-Expert Member Feb 21, 2014 1,672 3,390 Mar 13, 2024 #8 Ilo itusaidie nini? We are complete package.