Anaota buana..Maisha yako ya ndoto inaonekana ni mazuri kuliko maisha yako halisi..Nakushauri uongeze muda/masaa ya kulala
Mweeeeeh!! Mie mkorogo ushanitifuatifua hadi sijulikani nina rangi gani, yaani ni tafrani, sina sifa hata moja hapo.
Wapi ww..Usinge kuwa unawanyima watu usingizi humu..watu hawalali wakasinzia kwa ajili yako ww
teh teh..mwenyewe unawajuaWeeeee donti teli mi, kama nani huyo? Ninyime watu usingizi nimekuwa stress??
Woman of my dreams!!! I don't sleep that much so I can't find her.
Maisha yako ya ndoto inaonekana ni mazuri kuliko maisha yako halisi..Nakushauri uongeze muda/masaa ya kulala
Too ambitious to sleep, huh? You can dream lucidly tho.
ni kweli kabisa inategemea ntu na ntuMimi nina sifa zako zooote, ila hapo namba tatu umenivuruga n'jomba, unajua lafudhi inategemea ntu na ntu sio kila ntu anaongea hivo...Ndo ushakosa nke chacha....