Bongo muvi na isidingo vinaharibu vijana....We ni bado dogo janja unataka kuleta drama za kwenye tamthilia kwenye real life utafeli
Bongo muvi na isidingo vinaharibu vijana....We ni bado dogo janja unataka kuleta drama za kwenye tamthilia kwenye real life utafeli
Masculinity - qualities or attributes regarded as characteristic of men.Masculinity metaphysical representation yake ni muscles au physical strengths.....symbolically...plus tabia za kipumbavu za alpha males and shit
Maiti wewe....
Kinachotofautisha uwezo wa mafanikio ya mtu na mtu ni level of brain power (Intellect + Knowledge)
Blah blah zingine za Masculinity mara Feminity ni nonsense na inaonesha you dont know exactly what you are trying to tell us.
Usijali, mimi ni kama mleta mada........huu mkwara ni nyuma ya keyboard tu, nikiwa na mbebez huwezi amini ni mimi niliyetoka kupiga sound hapa.Ha haaa, pole kwa mrembo wako
Kiongozi nna swali,, if masculinity haihusiki na succes why, top field like engineering, law, business, uongozi, medicine, education, firms za biashara, na organization kibao,, majority ya zile top figure ni men,, if it doesn't have anything to do with hormones and something like that,, why top 10 billionaire ni men na hakuna she hata mmoko?Not true
Ni tabia za kipumbavu based on men hormones ambazo hazina uhusiano wowote na "Kufanikiwa" as a human being which does not include "BRAIN" anyhwere!
Mifano Masculinity ni "handsome, muscled, driven, etc"
Mifano yote hapo juu ni metaphysical hakuna brain power popote
Ndio maana hata wanawake wasio na Masculinity wana SUCCESS zaidi ya wanaume wenye Masculinity,how do you explain this kupitia your stupid reasoning uliyotoa hapo?
Eti Mafanikio ya mwanadamu ni product ya Masculinity,what a stupid reasoning you are giving
Hakuna mahusiano yeyote
Hat gamblers wanasema "you got to know when to hold on" kwenye ule wimbo wa countryAnd risk takers are gamblers
Jamani hiki kizaramu kina ladha yake kwenye majadiliano kibongo bongo.....hiki kimalkia tutakitumia tu kwingineko kinakohitajika....Nilichojifunza kwenye huu uzi;
Mada ya Kiingereza, halafu inajadiliwa Kiswahili
Great point mzee.People, tuskilizane
Men are risk takers and hustlers, sio kila risk ni lazima iingie kwenye rada, zingine unaziacha zipite,,, that's why most people in prison ni wanaume coz of risks ambazo was not worth taking,
Swala la ladies achana nalo tu they are confusing, but what i am sure of ni kuwa they love wanaume ambao wana dominance and potentials i mean cars, body morphology in term of symmetry, mkwanja, brain potential, position kwenye jamii, ujanja mwingii, na vitu kama hvyo, generally beats ideality ni their turning point yaan hvooo,, thats why wale wana ambao walikuwa wanacheza ball vizuri school, vipanga na madencer walitulia sana mademu zetu ( maniner zenu)
What ladies love ni satisfying outcome ya risks na sio risk yenyewe,,
Hii ni lugha pendwa hasa kwa walevi na wasomi.Jamani hiki kizaramu kina ladha yake kwenye majadiliano kibongo bongo.....hiki kimalkia tutakitumia tu kwingineko kinakohitajika....
Mkuu nafikiri "masculinity " aliyoizungumzia ni psychologically zaidi na sio phenotype yani ile physical appearance???Mungu mwenyewe anachalenjiwa kila siku ndio mwanadamu wa hovyo asichalenjiwe,like what the fvck?
Unakosea tena kwa mara nyingine!
Thinking yako bado ni ya hovyo,still...na nakuchelenji kama ifuatavyo!
In todays life,competition does not depend on human Masculinity(muscles).....it depends entirely on Brain Power!
Kwa your stupid way of thinking basi body builder The Rock angekua tajiri zaidi ya Bill Gates asie na msuli wa aina yeyote!
Kwahiyo upumbavu wako wa muscle wa savage centuries inaonesha still your thinking process is still hujui unachoongea.
Risk activities ni zipi na according to who?
Kama kujenga pesa ni Risk Activities basi kila mwanadamu anaetafuta ugali wake wa kila siku ana qualify this nonsense you are talking about..
Wanawake wanataka SUCCESSFUL men regardless ya njia uliyopia...wewe unaongelea entirely a different thing
Acha ku-musterbate,tafute real pussy upige!
kumbe nguvu za sodaUsijali, mimi ni kama mleta mada........huu mkwara ni nyuma ya keyboard tu, nikiwa na mbebez huwezi amini ni mimi niliyetoka kupiga sound hapa.
Wivu unawasumbuaHivi mbona akitokea mwanaume akatusifia humu wanaume mnatoa mipovuuu hivi?
Mna matatizo gani wanaume wa jf?
Weee, nani yupo tayari kupoteza ka mbebez kwa kujifanya nunda.......na nyie punguzeni vituko basi, mtupunguzie hasira na disappointments angalau tuweze ku relax na nyinyi...kumbe nguvu za soda
Mgema akisifiwa tembo hulitia maji, ni hivo tu....Hivi mbona akitokea mwanaume akatusifia humu wanaume mnatoa mipovuuu hivi?
Mna matatizo gani wanaume wa jf?
Haahaa sasa mbona unampoteza mwenzako?Weee, nani yupo tayari kupoteza ka mbebez kwa kujifanya nunda.......na nyie punguzeni vituko basi, mtupunguzie hasira na disappointments angalau tuweze ku relax na nyinyi...