Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,397
- 191,507
Hiki ndio kinaniwazishaga sana unajitoa kwa manz af bado anapigwa nje 😅😅😅Wewe umebeba risk zako huko, mwisho wa siku unakuta anamegwa kimasihara na masela........
Hiki ndio kinaniwazishaga sana unajitoa kwa manz af bado anapigwa nje 😅😅😅Wewe umebeba risk zako huko, mwisho wa siku unakuta anamegwa kimasihara na masela........
Lazima ujione zwazwa....Hiki ndio kinaniwazishaga sana unajitoa kwa manz af bado anapigwa nje 😅😅😅
Bonge la boya af hapo ushalipishwa kodi ya nyumba yani dah😂 umenunua macho matatu wakati mama yako hata helfu 50 hujawahi mtumia 😅Lazima ujione zwazwa....
English pleaseUpuuzi huu, yaani niingie kwenye majanga kuridhisha nyapu ambazo haziridhiki wala hazina shukrani......kila mwanaume atumie njia zake ku deal na hizi manzi, tusitiane ujinga...
Acha tutiririke kizaramu tupate ladha halisi.....English please
Mtoa mada anafaa kuigiza kwenye bongo muvi au isidingo......Mkuu nipo na wewe, usipokuwa makini na hawa wanawake utawaabudu kama mtoa mada anavyofanya sasa hivi
Sasa wewe beba risk halafu ufeli ndo utawajua hao...It's in their DNA to want a man who can push through risk to achieve for both himself and those close to him. The quality of women you attract will be proportional to the risks you have taken, and the rewards you have reaped.
Always have some Risk
Live your life with at least a little risk as a permanent fixture. Perhaps that is starting a business, approaching attractive women or accepting above average risk on some other venture.
You should get a buzz from this level of risk.
Great evening Comrades!!
mkuu wanamegwa na "wabeba risks" waendesha boda boda.... 😀 😀 🙂Hiki ndio kinaniwazishaga sana unajitoa kwa manz af bado anapigwa nje 😅😅😅
Heheheh wale ndio risk taker wa kiwango cha kijazi interchange 😅mkuu wanamegwa na "wabeba risks" waendesha boda boda.... 😀 😀 🙂
Na kweliAcha tutiririke kizaramu tupate ladha halisi.....
Inapobidi kufanya jambo linaloleta positive impact ntafanya ila sio ujiingize kichwa kichwa eti uoneakane kidume.Wapi nimeonyesha kuwaabudu? Acha uoga wa maisha kijana kwa mwanaume lazima urisk ata sababu ya familia yako kama hauna sababu ya kurisk kisa unafikiri unamfanyia mwanamke basi kuna tatizo kubwa juu ya uelewa wako.
Mwache ajifanye yupo less tuMtoa mada anafaa kuigiza kwenye bongo muvi au isidingo......
Sasa makasiriko ya nini jamani? Ndio mlishaumbiwa sisi, hivyo punguza tu makasiriko hayatosaidia.Upuuzi huu, yaani niingie kwenye majanga kuridhisha nyapu ambazo haziridhiki wala hazina shukrani......kila mwanaume atumie njia zake ku deal na hizi manzi, tusitiane ujinga...
Mimi sijakasirika ila natumia njia zangu mwenyewe ku deal na nyie viumbe, miongoni mwa njia hizo siyo kujibebesha gunia la misumari......kama unajibebisha hutaki kula ugali dagaa, sepa niendelee na mishe nyingine.Sasa makasiriko ya nini jamani? Ndio mlishaumbiwa sisi, hivyo punguza tu makasiriko hayatosaidia.
Are you challenging my intelligence young boy? Kwamba sijui tofauti ya Risk and Success? [emoji16] Funny! Nikusaidie kidogo hapo the outcome of Risk is Success sasa sijui unataka kusema unaokota hela kwenye mti..Muongo mkubwa
Unachanganya Taking Risks na mtu "Successful"
Wanawake wanapenda mtu "Successful" pekee yake kwa standard anayopenda yeye
Taking Rists does not guarantee utakua "Successful"
Na mtu Successful sio lazima kwamba ali take Risk popote
Unachanganya mambo mawili unrelated kabisa kufikisha ujumbe wako vibaya kabisa
Kwa kifupi sana elewa ivi mademu unaowapata au ulionao ni matunda ya risk unazochukua na ndio type iyo specific na mngine atapata wale ambao wako attractive na risk zake pia.Inapobidi kufanya jambo linaloleta positive impact ntafanya ila sio ujiingize kichwa kichwa eti uoneakane kidume.
Mfano inakuja kazi ya kupokea wageni nalipwa 5000k kwa kila mgeni atakayekuja alafu nyingine kulima 70000 per heka. Kwa mentality yako utachagua kulima ili uonekane kidume si ndio?
Kujitutumua kutakupongeza note hii kitu mkuuKwa kifupi sana elewa ivi mademu unaowapata au ulionao ni matunda ya risk unazochukua na ndio type iyo specific na mngine atapata wale ambao wako attractive na risk zake pia.
Umeonge point Ukishaona inakubidi urisk ili umpate mwanamke unalazimisha penzi na sio level zako, upendo w kweli upo naturalJust to make her satisfied? Mwisho wa siku utaweka rehani marinda yako sababu demu akuone shujaa ili akupe nyapu!😅
Siku wanawake wakiwa na Patent rights basi naweza nika risk kwa ajili yake!
Wacha bwana!!Mimi sijakasirika ila natumia njia zangu mwenyewe ku deal na nyie viumbe, miongoni mwa njia hizo siyo kujibebesha gunia la misumari......kama unajibebisha hutaki kula ugali dagaa, sepa niendelee na mishe nyingine.