Wolper jamani

Wolper jamani

Hakuna cha kulia fatilia page yake akiandika vizuri kakopi sehemu kwa kizungu

Umeona James anavyowaumbua wanaume ananifurahishaaa
Screenshot_2018-05-09-22-22-35.jpg
 
Huyu dada atakuwa
(A)darasa la "ine bee"
(B)Standard four
(C)form 4 failure
(D)A&B are correct
(E)Only D
(F)Non of the above
 
Celebrity wengi tu wa kibongo wako hivyo, ni aibu kwakweli. Wangekuwa na hela wangeajiri mtu wa kuwaandikia kama kama afanyavyo Floyd Mayweather
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom