NYANYADO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 3,731
- 2,324
wewe Rwatami ukiambiwa utoe ushaidi utautoa? do you know exactly how IFMSO account operates? do you know the history of the account? maana wewe umeongelea 2013/2014 vipi miaka ya nyuma? unajuaje kama account au chama chenu kina madeni? don't jump on issues! najua ninachokisema.
Hivi ile TV pale cant'n ilinunuliwa bei gani? Na iliyotolewa ilikuwa na tatizo gani..
Katiba ya ifmso mbona inafichwa.