lucky lefty
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 491
- 454
Habari wakuu!
Kuna kibaka mmoja kaiba simu yangu jana usiku ila bado anaitumia. Kwa bahati nzuri simu ina PIN sema anaweza kuiflash.
Tatizo tukiipiga namba inapokelewa na mtu anajifanya kauziwa hiyo simu na aliyemuuzia anamjua, tatizo tukimwambia tuonane atupeleke kwa huyo aliyemuuzia anatuletea siasa nyingi halafu anataka kwanza nimpe PIN yangu ya simu ili aweze kunipigia tukitaka kuonana kwenda kumfata huyo aliyemuuzia.
IMEI ya simu ninaijua na Namba yangu hajaitoa kwenye simu mpaka sasa.
Nimeenda Kituo cha Polisi amenishauri tu niiblock laini basi ila simu niisahau.
Naomba ushauri wenu nini cha kufanya. Maana simu nimenunua Bei kidogo.
Kuna kibaka mmoja kaiba simu yangu jana usiku ila bado anaitumia. Kwa bahati nzuri simu ina PIN sema anaweza kuiflash.
Tatizo tukiipiga namba inapokelewa na mtu anajifanya kauziwa hiyo simu na aliyemuuzia anamjua, tatizo tukimwambia tuonane atupeleke kwa huyo aliyemuuzia anatuletea siasa nyingi halafu anataka kwanza nimpe PIN yangu ya simu ili aweze kunipigia tukitaka kuonana kwenda kumfata huyo aliyemuuzia.
IMEI ya simu ninaijua na Namba yangu hajaitoa kwenye simu mpaka sasa.
Nimeenda Kituo cha Polisi amenishauri tu niiblock laini basi ila simu niisahau.
Naomba ushauri wenu nini cha kufanya. Maana simu nimenunua Bei kidogo.