Zuia Sayayi
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 841
- 133
Jaman hebu tuelezane machache kuhusu huduma za hii benk yetu
kwa hapa magu Ukiweka pesa kwenye account isiyo yako ni lazma uambatanishe na shlng 1000/=,
je hii inafanyika hata wilaya zingine au huku MAGU wanaibiwa..!?
kwa hapa magu Ukiweka pesa kwenye account isiyo yako ni lazma uambatanishe na shlng 1000/=,
je hii inafanyika hata wilaya zingine au huku MAGU wanaibiwa..!?